Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
wanahusika na uharibifu wa mazingira katika msitu wa shengena wamechukia mama kilango kuwaletea noma na wenzao saba kukamatwa sasa wanakimbilia katika chaka la wezi huko cdm
Mkuu BigMan ina maana wamo kwenye ile sinema aliyotengeneza mama Kilango kwenye zile CD zake tatu?
Last edited by a moderator: