Wenyeviti wa CCM Same wahamia CHADEMA

Wenyeviti wa CCM Same wahamia CHADEMA

Kwa mujibu wa Crashwise, wenyeviti waliojivua gamba ni viongozi wa serikali za mitaa kutoka vitongoji vitatu kata anayotoka Mama Kilango.

Crashwise pia ametuarifu kuwa mwenyekiti wa serikali za mitaa kata ya Mateves jiji la Arusha amejivua gamba na kujiunga chadema.

Nasubiri diwani wake maana sidhani kama anaweza kuendelea kuwa gamba!
 
Last edited by a moderator:
Eee nethika dime!
Ule mshipa wa kuongea yule mama lazima uchomoke!safi sana
viva cdm.
 
Yupi huyo? Au bwana Willy??

Naam! A.ka Le Mutuz! Kijana mwenye uchu wa madaraka. Amekosa ubunge wa EAC akaenda kugombea ujumbe wa kata tena uhamishoni. Toka Segerea hadi Magogoni!!
 
Nasubiri diwani wake maana sidhani kama anaweza kuendelea kuwa gamba!

kama chadema ingekuwa na pesa za kuiwezesha M4C ikaongeza kasi nakuambia mwaka 2015 hatufiki...
 
Naam! A.ka Le Mutuz! Kijana mwenye uchu wa madaraka. Amekosa ubunge wa EAC akaenda kugombea ujumbe wa kata tena uhamishoni. Toka Segerea hadi Magogoni!!
Ohhhh yes namtambua huyo jamaa, jana niliona katika luninga anauza kidogo! Harakati za kupata madaraka zina mambo sana!
 
Peopleeeeeeeeeeees poooooooooooooooooooooooooooooooooooooweeeeeeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
wanahusika na uharibifu wa mazingira katika msitu wa shengena wamechukia mama kilango kuwaletea noma na wenzao saba kukamatwa sasa wanakimbilia katika chaka la wezi huko cdm
 
Kwa mujibu wa Crashwise, wenyeviti waliojivua gamba ni viongozi wa serikali za mitaa kutoka vitongoji vitatu kata anayotoka Mama Kilango.

Crashwise pia ametuarifu kuwa mwenyekiti wa serikali za mitaa kata ya Mateves jiji la Arusha amejivua gamba na kujiunga chadema.

Kwa maana hiyo mkuu Mungi kuna uchaguzi wa serikali za mtaa kwenye mitaa walikotoka hao viongozi. Mkuu Crashwise nawe umeshindwa kuwa specific manake kuna wenyeviti wa CCM wa kichama na wenyeviti wa serikali za mitaa kupitia tiketi ya CCM. Wenyeviti wa CCM wakiondoka inakuwa ni uchaguzi ndani ya chama ila wakiondoka wa serikali za mitaa basi unakuwa uchaguzi unaowahusu wakazi wote wa mitaa husika; najua unajua ila nataka ujue zaidi. Kuwa basi specific, ni wapu kati ya hao?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom