mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
Wanajamvi poleni na mihangaiko ya kila siku. Mimi ni mwalimu wa shahada ya kwanza na hivi karibuni wizara imenipangia iramba mkoani singida kama kituo changu cha kazi. Tatizo siifahamu hata kidogo wilaya hiyo naomba wanajamvi mnisaidie ili walau nipate picha ya sehemu ninayoenda au kama kuna mtu anapenda kwenda huko tunaweza kubadilishana. Naomba kuwasilisha.