Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Naunga mkono hojaYes Boss, I agree with you
Your words are 100% true.
Ni vizuri kuridhika, kuishi maisha halisi na kukubaliana na hali iliyopo katika maisha yenu/yako. Baada ya hapo mnaongeza juhudi za kutimiza ndoto zenu.
Pesa itumike kulingana na kipato (gharama zisiwe kubwa), akiba ipatikane na pesa ya dharura pia iwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app