Ni kweli kabisa......Mimi mwenyewe mdogo wangu majina yote matatu anafanana na mwanafunzi mwenzake ila haikuwa shida kwani kila mtu ana namba yake ya mtihani.Hizo dimension ambazo zimetumika kuangalia mfanano wa cheti. hakuna asiyefahamu majina ya kibantu yanafanana. hata kama hukusoma shule ukipewa kazi huwezi kuangalia majina tu
Jibu swaliWe ni nani?
Aksante mkuu, ubarikiwe!Hii hapa mkuu
Aksante mkuu, ubarikiwe!
Walipewa hela mkuu,mbona ilikuwa common.Kwanza uthibitishe aligawa sio aliibiwa au kuchukuliwa pasi na ufahamu wake!
Pamoja mkuuAksante mkuu, ubarikiwe!