Wenye vyeti vyenye utata hawa hapa

Wenye vyeti vyenye utata hawa hapa

kirerenya

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
1,699
Reaction score
2,261
Gazeti la Tanzania daima la leo tarehe 06/05/2017 limechapisha majina ya watu ambao wanashirikiana vyeti sehemu mbalimbali Tanzania.

Pakua majina hayo hapo chini;
 

Attachments

Gazeti la Tanzania daima la leo tarehe 06/05/2017 limechapisha majina ya watu ambao wanashirikiana vyeti sehemu mbalimbali Tanzania.

Pakua majina hayo hapo chini;
Mbona machache wakat tuliambiwa yapo buku jero?
 
Kwa kweli tumeyafukuwa makuburi ....chonde chonde mizimu ya hao maiti isitu umize
 
je index number ni sawa
Yeah,je Index namba,Shule aliyosoma na mchepuo ni sawa? Je ufaulu ni sawa au tofauti? Mwaka wa kuhitimu ni sawa?
Ikumbukwe kwa mfano majina ya Kiislam kwa mfano, ni common sana kujirudia,hivyo cha maana ni kuangalia mfanano wa Shule,Index No., Combination,mwaka nk
 
Yeah,je Index namba,Shule aliyosoma na mchepuo ni sawa? Je ufaulu ni sawa au tofauti? Mwaka wa kuhitimu ni sawa?
Ikumbukwe kwa mfano majina ya Kiislam kwa mfano, ni common sana kujirudia,hivyo cha maana ni kuangalia mfanano wa Shule,Index No., Combination,mwaka nk
Hizo dimension ambazo zimetumika kuangalia mfanano wa cheti. hakuna asiyefahamu majina ya kibantu yanafanana. hata kama hukusoma shule ukipewa kazi huwezi kuangalia majina tu
 
Fukuza wote hao pia na darasa la saba wasio na fani serikalini watolewe wanakula hela bure hasa kwenye mashirika ya umma
 
Yeah,je Index namba,Shule aliyosoma na mchepuo ni sawa? Je ufaulu ni sawa au tofauti? Mwaka wa kuhitimu ni sawa?
Ikumbukwe kwa mfano majina ya Kiislam kwa mfano, ni common sana kujirudia,hivyo cha maana ni kuangalia mfanano wa Shule,Index No., Combination,mwaka nk

kwamfano jina la
Asha juma unaweza kukuta majina hayo yako mengi
 
Hatari sana. hiyo bila chenga inabidi abaki mmoja mwenye cheti, ila hata yeye bado ana kesi ya kujibu kwa nini aligawa cheti.

Kwanza uthibitishe aligawa sio aliibiwa au kuchukuliwa pasi na ufahamu wake!
 
Majina mengi bado yameachwa, cheti kimoja kuajiri zaidi ya mtu mmoja bado wapo wengi sana
 
Back
Top Bottom