Wenye tabia hii naomba muache, sio ustaarabu!

Wenye tabia hii naomba muache, sio ustaarabu!

Hivi kwenye kwenda kupima ugonjwa pendwa mbona zijawahi kuona ant-log? Hata aliye mbele anatamani arudi katikati...
 
hii makitu hata mi huwa nakwazika sana, ila huwa nakuwa mpole kwa kuwa mwisho wa siku mimi ni kwa muda huo ni mgonjwa na ni lazima kumuona doc...ndio maisha kibongobongo tutafanyeje!
 
ukitaka kui-enjoy nchi hii juana na daktari,polisi,mwanasiasa,mwanajeshi la sivyo utakuwa kila siku unateseka wewe
Pia konda wa daladala, utazisevu mia nne mia nne kibao!!
 
Back
Top Bottom