Wenye roho mbaya kumbe tupo wengi

Wenye roho mbaya kumbe tupo wengi

Kuna mtu katoa thread kuhusu kuwa na roho mbaya. naweza sema hayuko mbali sana na mimi japo kuna tofauti kidogo mi cfurahi sana kifo labda niwe nimethibitisha mwenyewe kuwa aliefariki ni hakuwa mtu mwema

lakini pia huwa cpendi kubabaishwa na nina hasira za karibu sana. Maadui wangu wakubwa ni waongo, wanafiki na wanaojiproud

Huwa nafikiri labda kwa kuwa nimekulia ktk hali ya mateso sana tena kutoka kwa bibi yangu mzaa mama pamoja na mama zangu wadogo. walinitesa na kunibagua sana kitu kilichopelekea kutohitimu elim ya msng

kwa msaada wa mama mzazi pamoja na step father japo nae alionesha kunibagua mwanzoni ila kwa kwa kuwa mama alionesha uimara wa kunisimamia niliweza kuendelea na masomo na nashukuru mungu nilihtm kdato cha sita na hv sasa nina kazi ambayo inanifanya nipeleke mkono knywani bila kumtegemea mtu yeyote

Baba yeye hana time na mimi pamoja na juhd za kumtafuta ili niwe karibu nae wakati ndo naingia fom five lakini hakuonesha ushirikiano wala upendo kwangu hakunisaidia kwa lolote. hivyo nimeamua kumpotezea kama vp tutaonana tu peponi endapo hatanihitaji tena

Simwamini mwanamke yoyote isipokuwa mama yangu tu. nampenda sana mama lakini nawachukia sana wanawake wengne

nina mtoto mmoja ila bado cjaoa na hi yote ni kwa sababu ya kutowaamini wanawake

kila ninaeanzisha nae mahusiano nikikuta ana akiri ya kiwaruwaru huwa cjiulizi mara mbili mbili nampiga chn mara moja

Naona bora niishi peke yangu kuliko kuwa na mtu atakaenipotezea furaha yangu

Mtu yoyote akionesha element za kunimistreat huwa namkwepa hata kbla hajatimza adhima yake, sioni shida kutoongea na mbaya wangu hata kama tunaish nyumba moja

so brother hauko peke yako tupo wengi na hii yote ni kwa sababu ya walimwengu.


Hongera sana mkuu, Mimi nikishamuona mtu flani nisnitch au ana mambo yakijinga huwa sinaga mda na akija tuuu lazima tuzikunje yani.

Pia sijawaji vunja misimamo yangu kwa shinikizo kutoka kwa watu fulani.
Mkuu una raha sana.
Mimi saivi nina hasira na anti yani asipoacha uchawi wake lazima nitamtoa sadaka.
Na sasa rafiki yangu wa karibu sana niliye nae ni jamiiforum pekee
 
Naamini ukitaka uishi vizuri na kwa amani, ni kusahau mabaya uliyowahi tendewa na kuendelea kufurahia mafanikio yako. Je, wewe haujawahi kuwatendea vibaya watu maishani?
Unafahamu kusahau wewe? kwanza embi niambie sumu ya hasira inatolewaje kichwani.
Nikiipata hiyo dawa basi tatizo langu litakua limeisha.
 
Kuna mtu katoa thread kuhusu kuwa na roho mbaya. naweza sema hayuko mbali sana na mimi japo kuna tofauti kidogo mi cfurahi sana kifo labda niwe nimethibitisha mwenyewe kuwa aliefariki ni hakuwa mtu mwema

lakini pia huwa cpendi kubabaishwa na nina hasira za karibu sana. Maadui wangu wakubwa ni waongo, wanafiki na wanaojiproud

Huwa nafikiri labda kwa kuwa nimekulia ktk hali ya mateso sana tena kutoka kwa bibi yangu mzaa mama pamoja na mama zangu wadogo. walinitesa na kunibagua sana kitu kilichopelekea kutohitimu elim ya msng

kwa msaada wa mama mzazi pamoja na step father japo nae alionesha kunibagua mwanzoni ila kwa kwa kuwa mama alionesha uimara wa kunisimamia niliweza kuendelea na masomo na nashukuru mungu nilihtm kdato cha sita na hv sasa nina kazi ambayo inanifanya nipeleke mkono knywani bila kumtegemea mtu yeyote

Baba yeye hana time na mimi pamoja na juhd za kumtafuta ili niwe karibu nae wakati ndo naingia fom five lakini hakuonesha ushirikiano wala upendo kwangu hakunisaidia kwa lolote. hivyo nimeamua kumpotezea kama vp tutaonana tu peponi endapo hatanihitaji tena

Simwamini mwanamke yoyote isipokuwa mama yangu tu. nampenda sana mama lakini nawachukia sana wanawake wengne

nina mtoto mmoja ila bado cjaoa na hi yote ni kwa sababu ya kutowaamini wanawake

kila ninaeanzisha nae mahusiano nikikuta ana akiri ya kiwaruwaru huwa cjiulizi mara mbili mbili nampiga chn mara moja

Naona bora niishi peke yangu kuliko kuwa na mtu atakaenipotezea furaha yangu

Mtu yoyote akionesha element za kunimistreat huwa namkwepa hata kbla hajatimza adhima yake, sioni shida kutoongea na mbaya wangu hata kama tunaish nyumba moja

so brother hauko peke yako tupo wengi na hii yote ni kwa sababu ya walimwengu.

Na sasa rafiki yangu wa karibu sana niliye nae ni jamiiforum pekee

Usipompenda binaadamu mwenzio unayemuona utawezaje kumpenda Mungu usiyemuona? tafakari chukua hatua kwani dunia imevaa chupi kichwani hii.
 
binadamu wanakera sana, basi wengine tuna amua kupuuzia tu.

ila kama tutafungua mlango wa roho mbaya kuna species now zingekuwa zisha potea .
 
Jitahidi uwe mtu wa kusamehe...
Only msamaha kutoka moyoni ndio tiba ya tatizo lako.
Ukisamehe utakuwa na vinyongo..
Ukisamehe amani itatawala moyoni..
Ukisamehe hata Mungu anakubariki..
 
Mi kwanza najichukia mwenyewe ko mtu akinizingua hasa kwenye mapenzi sijawahi kubembeleza
 
Hatari sana idadi inaongezeka tu.....TZ kumbe tuna magaidi tena wako JF
 
Fungua moyo wako! Utamwona tu mwanamke wa kumwamini.
 
Kwanza badili jina lako ili umaanishe jinsi ulivyo.

Pili, kuwa na roho mbaya sio sifa kiongozi, unaweza kudhani unawakomoa unaowafanyia roho mbaya ila kwa ulivyojielezea hapa ni kama unajikomoa mwenyewe.

Angalia sasa umezaa Mtoto ambae mama yake humtaki, umeshawahi kujiuliza maisha ya baadae ya huyo Mtoto?

Samehe yaliyopita uishi kwa amani rafiki. Amani ya moyo hujengwa na mwenye moyo.

Badili fikra acha kuishi kama uko peke yako duniani humu
Kwa mtt waliezaa nae jamaa anampa mtiririko wa maisha alioyaishi ,kwa haraka ni mwendelezo wa kizazi kilekile
 
Pole kaka angu .ww ni sociopath, nenda kagoogle ujisome ujielewe.afadhali ww ni sociopath bcz abuse ndo imekufanya use hvyo.kuliko wale psychpath.unaweza Ku google ukaelewa kila kitu.
 
Kuna mtu katoa thread kuhusu kuwa na roho mbaya. naweza sema hayuko mbali sana na mimi japo kuna tofauti kidogo mi cfurahi sana kifo labda niwe nimethibitisha mwenyewe kuwa aliefariki ni hakuwa mtu mwema

lakini pia huwa cpendi kubabaishwa na nina hasira za karibu sana. Maadui wangu wakubwa ni waongo, wanafiki na wanaojiproud

Huwa nafikiri labda kwa kuwa nimekulia ktk hali ya mateso sana tena kutoka kwa bibi yangu mzaa mama pamoja na mama zangu wadogo. walinitesa na kunibagua sana kitu kilichopelekea kutohitimu elim ya msng

kwa msaada wa mama mzazi pamoja na step father japo nae alionesha kunibagua mwanzoni ila kwa kwa kuwa mama alionesha uimara wa kunisimamia niliweza kuendelea na masomo na nashukuru mungu nilihtm kdato cha sita na hv sasa nina kazi ambayo inanifanya nipeleke mkono knywani bila kumtegemea mtu yeyote

Baba yeye hana time na mimi pamoja na juhd za kumtafuta ili niwe karibu nae wakati ndo naingia fom five lakini hakuonesha ushirikiano wala upendo kwangu hakunisaidia kwa lolote. hivyo nimeamua kumpotezea kama vp tutaonana tu peponi endapo hatanihitaji tena

Simwamini mwanamke yoyote isipokuwa mama yangu tu. nampenda sana mama lakini nawachukia sana wanawake wengne

nina mtoto mmoja ila bado cjaoa na hi yote ni kwa sababu ya kutowaamini wanawake

kila ninaeanzisha nae mahusiano nikikuta ana akiri ya kiwaruwaru huwa cjiulizi mara mbili mbili nampiga chn mara moja

Naona bora niishi peke yangu kuliko kuwa na mtu atakaenipotezea furaha yangu

Mtu yoyote akionesha element za kunimistreat huwa namkwepa hata kbla hajatimza adhima yake, sioni shida kutoongea na mbaya wangu hata kama tunaish nyumba moja

so brother hauko peke yako tupo wengi na hii yote ni kwa sababu ya walimwengu.

Na sasa rafiki yangu wa karibu sana niliye nae ni jamiiforum pekee
Dah sawa brother pamoja ...nipo kama wewe tu. Ila tofauti mtoto tu mimi sina
 
Mi nilipitia maisha km yako lkn wala sina chuki na mtu. Namshukru Mungu kwa kuweza kunijalia kufika hapa nilipo. Na sasa naomba sana nipate mwanaume atakaenipenda sn na kunijali ili nisiendelee kufill gap ninayoiona ya kukosa upendo wa baba.
Japo mm mzazi wangu alitangulia mbele za haki, huwa naamini km angekuwepo basi nisingepitia changamoto km zile.
 
Unafahamu kusahau wewe? kwanza embi niambie sumu ya hasira inatolewaje kichwani.
Nikiipata hiyo dawa basi tatizo langu litakua limeisha.
Furahia mafanikio yako kama umefanikiwa. Aibu itakuwa kwao.
 
Haki ya Mungu tena, chuki humchoma anayehifadhi
 
Jitahidi uwe mtu wa kusamehe...
Only msamaha kutoka moyoni ndio tiba ya tatizo lako.
Ukisamehe utakuwa na vinyongo..
Ukisamehe amani itatawala moyoni..
Ukisamehe hata Mungu anakubariki..
Mkuu unauchukulia poa msamaha sio?
 
Back
Top Bottom