goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 1,049
- 1,344
Kuna mtu katoa thread kuhusu kuwa na roho mbaya. naweza sema hayuko mbali sana na mimi japo kuna tofauti kidogo mi cfurahi sana kifo labda niwe nimethibitisha mwenyewe kuwa aliefariki ni hakuwa mtu mwema
lakini pia huwa cpendi kubabaishwa na nina hasira za karibu sana. Maadui wangu wakubwa ni waongo, wanafiki na wanaojiproud
Huwa nafikiri labda kwa kuwa nimekulia ktk hali ya mateso sana tena kutoka kwa bibi yangu mzaa mama pamoja na mama zangu wadogo. walinitesa na kunibagua sana kitu kilichopelekea kutohitimu elim ya msng
kwa msaada wa mama mzazi pamoja na step father japo nae alionesha kunibagua mwanzoni ila kwa kwa kuwa mama alionesha uimara wa kunisimamia niliweza kuendelea na masomo na nashukuru mungu nilihtm kdato cha sita na hv sasa nina kazi ambayo inanifanya nipeleke mkono knywani bila kumtegemea mtu yeyote
Baba yeye hana time na mimi pamoja na juhd za kumtafuta ili niwe karibu nae wakati ndo naingia fom five lakini hakuonesha ushirikiano wala upendo kwangu hakunisaidia kwa lolote. hivyo nimeamua kumpotezea kama vp tutaonana tu peponi endapo hatanihitaji tena
Simwamini mwanamke yoyote isipokuwa mama yangu tu. nampenda sana mama lakini nawachukia sana wanawake wengne
nina mtoto mmoja ila bado cjaoa na hi yote ni kwa sababu ya kutowaamini wanawake
kila ninaeanzisha nae mahusiano nikikuta ana akiri ya kiwaruwaru huwa cjiulizi mara mbili mbili nampiga chn mara moja
Naona bora niishi peke yangu kuliko kuwa na mtu atakaenipotezea furaha yangu
Mtu yoyote akionesha element za kunimistreat huwa namkwepa hata kbla hajatimza adhima yake, sioni shida kutoongea na mbaya wangu hata kama tunaish nyumba moja
so brother hauko peke yako tupo wengi na hii yote ni kwa sababu ya walimwengu.
Na sasa rafiki yangu wa karibu sana niliye nae ni jamiiforum pekee
lakini pia huwa cpendi kubabaishwa na nina hasira za karibu sana. Maadui wangu wakubwa ni waongo, wanafiki na wanaojiproud
Huwa nafikiri labda kwa kuwa nimekulia ktk hali ya mateso sana tena kutoka kwa bibi yangu mzaa mama pamoja na mama zangu wadogo. walinitesa na kunibagua sana kitu kilichopelekea kutohitimu elim ya msng
kwa msaada wa mama mzazi pamoja na step father japo nae alionesha kunibagua mwanzoni ila kwa kwa kuwa mama alionesha uimara wa kunisimamia niliweza kuendelea na masomo na nashukuru mungu nilihtm kdato cha sita na hv sasa nina kazi ambayo inanifanya nipeleke mkono knywani bila kumtegemea mtu yeyote
Baba yeye hana time na mimi pamoja na juhd za kumtafuta ili niwe karibu nae wakati ndo naingia fom five lakini hakuonesha ushirikiano wala upendo kwangu hakunisaidia kwa lolote. hivyo nimeamua kumpotezea kama vp tutaonana tu peponi endapo hatanihitaji tena
Simwamini mwanamke yoyote isipokuwa mama yangu tu. nampenda sana mama lakini nawachukia sana wanawake wengne
nina mtoto mmoja ila bado cjaoa na hi yote ni kwa sababu ya kutowaamini wanawake
kila ninaeanzisha nae mahusiano nikikuta ana akiri ya kiwaruwaru huwa cjiulizi mara mbili mbili nampiga chn mara moja
Naona bora niishi peke yangu kuliko kuwa na mtu atakaenipotezea furaha yangu
Mtu yoyote akionesha element za kunimistreat huwa namkwepa hata kbla hajatimza adhima yake, sioni shida kutoongea na mbaya wangu hata kama tunaish nyumba moja
so brother hauko peke yako tupo wengi na hii yote ni kwa sababu ya walimwengu.
Na sasa rafiki yangu wa karibu sana niliye nae ni jamiiforum pekee