Dah!
Siungi mkono hoja, lengo kuu la serikali ni kuboresha na kushusha gharama za maisha kwa wananchi. Watanzania wengi hatuna nyumba bado, tumepanga! Wakitozwa kodi, wananchi wa kawaida ndo tutakuwa tunalipa. Wataongeza kodi!
walipe kodi...
Tukusanye kodi pia wale wote wenye nyumba za kupangisha. Wanapata kipato bila kulipa kodi ili nchi iachane na wahisani kabisa.
Hapa kazi tu
wenye nyumba tayari wanalipa kodi za ardhi, sio kwamba wanapata kipato bila kulipa kodi!
aisee mkuu unaua imagine umepanga laki na nusu akiweka 18% hapo itakuwa 177,000 kwa mwezi aisee achana na hizi mambo