House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,189
- 2,206
Habari za keekend wapendwa.
Leo Jumapili nakwenda kuimaliza vibaya. Nikiwa nitulia hapa nyumbani mke wangu ameomba simu yangu ili ampigie mtu maana simu yake ilikuwa haina credit, nikampa mi nikaingia chumbani kupumzika, amekuja chumbani amefura, akauliza namba yake nimeisevu kwa jina gani?
Mi nikamjibu kuwa nimesevu kwa jina la "Madam" Hapo ndio kivumbi kikaanza, kwanini unasevu hivo? Mbona hujasevu mrs?Akaendelea," ina maana una mtu mwingine ndio mkeo? Huyo ndie ulie msevu mrs? Akaendelea tangu leo mi sio mkeo, na ndg zako waondoke hapa kwangu...."
Mi muda huo nilikuwa nimepigwa butwaa, namsikiliza, baadae nikamwambia kusevu jina hilo ni kukupa heshima, nikamwambia ile simu nyingine nimesevu kwa jina la 'mrs' wala sina maana mbaya.
Kwa kweli baadae akasema hata simu yake haina thamani maana ni ya hela ndogo (akimaanisha simthamini maana nimemnunulia simu ya bei ndogo), na kwa maana nyingine akimaanisha yupo mwanamke ninaye mthamini na ndie huenda nimemsevu kwa jina la 'mrs' akasema mambo mengi sana, lakini mi nikiangalia sijamkosea jambo kubwa kiasi cha maneno anayoyasema. Imefikia mahali nikaivunja simu yake.
Eti wanajanvi, ni kosa mkeo kumsevu kwa jina la 'madam' Nipeni mchango wenu tafadhari, maàna bado mgogoro upo na kwa sasa ameondoka sjui amekwenda wapi. Ila katika kufoka kwake nimemsikia akisema hii kesi anaipelwka kwa mchungaji, nadhani ameenda huko kupeleka kesi.
Nipeni ushauri tu ili niona namna ya kumaliza tatizo hili.
Leo Jumapili nakwenda kuimaliza vibaya. Nikiwa nitulia hapa nyumbani mke wangu ameomba simu yangu ili ampigie mtu maana simu yake ilikuwa haina credit, nikampa mi nikaingia chumbani kupumzika, amekuja chumbani amefura, akauliza namba yake nimeisevu kwa jina gani?
Mi nikamjibu kuwa nimesevu kwa jina la "Madam" Hapo ndio kivumbi kikaanza, kwanini unasevu hivo? Mbona hujasevu mrs?Akaendelea," ina maana una mtu mwingine ndio mkeo? Huyo ndie ulie msevu mrs? Akaendelea tangu leo mi sio mkeo, na ndg zako waondoke hapa kwangu...."
Mi muda huo nilikuwa nimepigwa butwaa, namsikiliza, baadae nikamwambia kusevu jina hilo ni kukupa heshima, nikamwambia ile simu nyingine nimesevu kwa jina la 'mrs' wala sina maana mbaya.
Kwa kweli baadae akasema hata simu yake haina thamani maana ni ya hela ndogo (akimaanisha simthamini maana nimemnunulia simu ya bei ndogo), na kwa maana nyingine akimaanisha yupo mwanamke ninaye mthamini na ndie huenda nimemsevu kwa jina la 'mrs' akasema mambo mengi sana, lakini mi nikiangalia sijamkosea jambo kubwa kiasi cha maneno anayoyasema. Imefikia mahali nikaivunja simu yake.
Eti wanajanvi, ni kosa mkeo kumsevu kwa jina la 'madam' Nipeni mchango wenu tafadhari, maàna bado mgogoro upo na kwa sasa ameondoka sjui amekwenda wapi. Ila katika kufoka kwake nimemsikia akisema hii kesi anaipelwka kwa mchungaji, nadhani ameenda huko kupeleka kesi.
Nipeni ushauri tu ili niona namna ya kumaliza tatizo hili.