Wenye Nchi ya Tanzania ni wananchi Watanzania sio Maria Sarungi na Jenerali Ulimwengu

View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali.

Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.

Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu.

Kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.

Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.

Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.
F*ck you!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jeneral twaha Ulimwengu ni mzalendo kulikowewe mpuuzi uliyeandika hapa. narudia tena mpuuzi. wewe umefikia hadhi ya kutupangia hata ya kusikiliza na kusoma? wewe ni nani hadi utupangie? mnafaidika na ujinga wa watanzania hivyo mnataka kila siku wabaki vilevile?
jeneral anapakukimbilia ? mtu amelipigania taifa maisha yake yote we leo unaleta ujinga wako wa kumuita mkimbozi?
Kama kweli unauhakika weka hapa hukumu ya kesi yake iliyosema yye sio raia.
ACHA UKAFR WAKO WA KILUMUMBA HAPA
Mkuu wapo wajinga wasiojishughulisha kujua historia ya mtu au kitu kabla ya kumhukumu.
Twaha Kalfani au Jenerali Ulimwengu alibambikiwa kizingiti kwa sababu ya msimamo wake usioyumbishwa.
Kilichomponza ni kutetea na kulinda maslahi ya taifa hili,akifuata nyayo za Mwalimu Nyerere.
Waliomsaliti Nyerere ni wale wale waliokuwa vinara baada ya kupenda unyanganyi badala ya utu.Na ukawa mwanzo wa mikataba mibovu inayotuumiza hadi leo.
Kama Mkapa angemsikiliza rafiki yake na mwandishi mwenzake Ulimwengu tusingetumbukia kwenye kashafa za kifisadi.Yaliofuata yamebaki historia.
 
Mleta mada ulipaswa kujadili maudhui na mada zilizowasilishwa kwenye huo mkutano badala ya kuwashambulia watu binafsi, uraia wao na hata maslahi yao binafsi. Ulipaswa kuwapasha wahusika na washiriki wao hapo hapo mkutanoni, bila kuhofia chochote - ni haki yako kusema. Kuja hapa na kutoa maoni yako kwa kujificha wakati unaowasema unawaweka wazi si haki, na ni unafiki wa kiwango cha juu. Aidha unawaogopa wahusika au unajua kabisa kwamba unachokisema si cha kweli.

Maria Sarungi na Jenerali Ulimwengu ni aina watu wenye upeo wa juu sana na ambao mchango wao unahitajika zaidi hivi sasa kuliko kipindi chochote kutokea huko nyuma.

Hoja hupingwa kwa hoja na si kwa mashambulizi binafsi.
 
Mzee Ulimwengu anasema rais anao uthubutu lakini awe anasikiliza zaidi. Rais anawaita wadau wa sekta mbalimbali pale ikulu na anawasikiliza mahitaji yao na shida zao. Sasa sijui kusikiliza anakokusema huyu mzee ni kusikiliza kwa aina gani.

JK alipoingia tu ikulu aliandika mfululizo wa makala za ushauri kwake, lakini kashfa za EPA nyinginezo zilipoanza kufumuka akajitenga na JK.
 
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali.

Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.

Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu.

Kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.

Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.

Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.
Waunga juhudi za jiwe lazima mkae, mashambulizi toka kila pande za dunia, mnapambana kuua upinzani nchini, mna pyupyupyu watu ili kuwaogopesha na kunyamazisha lakini wapi..!

Wakina Lissu kibao wanazidi kuibuka, mnajificha kwenye kichaka cha uzalendo na uraia wakati ninyi wenyewe mainterahamwe, Tanzania ni ya watanzania wote, hakuna mwenye hati miliki ya taifa letu.

Tunataka kuona democracy na haki vikitamalaki, usawa kwa kila mmoja wetu siyo kundi la watu wachache kujiona miungu watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali.

Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.

Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu.

Kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.

Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.

Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.
Non sense, kwa akili za kichama wewe ukiambiwa kuchagua kati ya uaminifu na utiifu utachagua utiifu bila kujua kuwa uaminifu unabeba utiifu pia ndani yake lakini mtu anaweza kuwa mtiifu halafu asiwe mwaminifu.
 
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali.

Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.

Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu.

Kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.

Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.

Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.
Wewe tayari unajibu lako, kwanini malalamiko haya umetuletea sisi! Umeandika kwa hasira, chuki na ubaguzi wa rangi na kabila, Mimi binafsi kwa ubaguzi huu hata kama unahoja sikuungi mkono, nami naendeleza wewe si kabila langu.
 
Kama unapingana na Baba yako ..hapo sawa utakuwa Umetusaidia kutambua kuwa Kijana wewe huna adabu
tapatalk_1550468333453.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali.

Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.

Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu.

Kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.

Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.

Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.
Mjinga sana!!!
 
Vipi akina Salim Ahmed Salim,Amani Karume, nk,na wao sio Watanzania kwasababu wana rangi mbili?

Umesema Maria Sarungi mama ake ni Mtu wa Poland Baba Mtanzania,kwani mtoto anafata urithi wa ukabila kutoka wapi,kwa Baba au Mama?

Mkuu moja katika sifa za Tanzania ni kuwa Raia wake wamechanganya damu za watu na makabila mbali mbali kutoka nchi mbali mbali..

Mleta mada ni mbaguzi wa rangi,watu kama nyinyi hatuwataki Tanzania..
 
Uchakaramu sio uadilifu .Bali uchakaramu wao ndio ulisababisha.Mfano huyo Generali Ulimwengu alipewa ukuu wa wilaya ya Ilala akawa kutwa analewa pombe tu badala ya kuwa ofisini kufanya kazi za ukuu wa wilaya na akawa kutwa kulalamika na kumsema Raisi vibaya kuwa yeye hakustahili kupewa ukuu wa wilaya alitakiwa apewe nafasi kubwa zaidi akawa akiporomoshea matusi Raisi na serikali badala.ya kukomaa kufanya kazi za ukuu wa wilaya .Akatemwa Moja kwa Moja hadi kesho kaachwa abweke barabarani
Unaweza kutulinganishia ulevi wa Jenerali Ulimwengu na wa Benjamin Mkapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali.

Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.

Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu.

Kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.

Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.

Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.

Baada ya kongamano kasafiri kaenda zake kuvuta mpunga ma ulaya wakati vijana waliokuwa wanapiga miayo wapo wapo tu wanasema vyuma vimekaza
 
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali.

Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.

Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu.

Kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.

Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.

Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.

Nadiriki kukuita mpumbavu
 
Hawa ni vibaraka wa Mabeberu wanataka kuanzisha harakati zisizokuwa na msingi zaidi ya kutaka kutugmbnisha tu
 
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali.

Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.

Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu.

Kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.

Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.

Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.
Wewe ndo punguani usiojielewa ila huwezi kumzidi maria au ulimwengu kwa namna zozote zile,hii nchi syo yako na mpuuzi mwenzio bali ya watanzania na ndicho walichokuwa wanaelimishwa vijana, na kuwa muoga na mtiifu kwa hofu ni ujinga na upumbavu kama ulivyo wewe.mtu mmoja anakuwa akitamka basi wengine na hata wanaume waufyate. Nyoooo.
 
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali.

Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.

Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu.

Kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.

Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.

Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.
kweli tumeona jinsi inavyowapigania uko kwenye korosho,kahawa na sasa vitambulisho vya wafanyabiashara ndogo kwa kuwapa sawa na bure kwa 20000.
 
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali.

Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.

Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu.

Kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.

Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.

Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.
hata huyu baba yako uraia wake ni questionable..........


tena heri hao kina sarungi ni wazawa wa bongo, baba yako yeye rumours are sio mzawa wa bongo wala wazazi wake sio wenzetu!.........


alafu hii serikali haiwatetei watanzania, ila inatetea maslahi ya kikundi kidogo cha watu wanaotumbua keki ya taifa!........


huyu mtu ninadhan taarifa za kuwa ni pandikizi huenda ni sahihi...... mbona anafanya juhudi kubwa sana kuharibu hili taifa?.......


kuna kila dalili baada ya miaka kadhaa utaifa wetu utazikwa rasmi na tutabaki na nchi yenye mipaka na binadamu tu........... kuna forces zinamtumia kuharibu taifa letu huyu ndugu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom