Wenye Moyo jitokezeni basi.....

Wenye Moyo jitokezeni basi.....

Leornado

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
1,529
Reaction score
199
230052_10150183292732411_548322410_7175360_889251_n.jpg



Kama kibao kinavyojieleza, watanzania wenye moyo wako wapi ? ni kina nani? manake waliopo karibu wote wabomoaji na mafisadi wasio na moyo.
 
wenye moyo wapo,tatizo ni kuwa inaliwa na wenye meno na hao ni wengi zaidi ya wajengaji!
 
umenikumbusha primary school, long time tulikuwa wazalendo kweli kweli...
 
Kweli Tanzania inajengwa na wenye moyo, lakini wenye meno wamezidi kasi ya wenye moyo...........hivyo ulaji ni mkubwa kuliko uzalishaji........ guess what? ......umasikini ndo unaongezeka maana wanakula mpaka visivyo vyao
.
 
Ni kweli kabisa lakini siku izi mambo ni tofauti kabisa yani watu wanatumia madaraka kujilimbikizia utajiri wa nchi...kwa hali hii hatutafika kokote zaidi ya kufundisha kizazi kinachokuja nacho kufanya maovu haya...itafika mahali wenye moyo watachoka na ndipo watakapoanza kutafuta njia ya kuikomboa nchi yao kwa nguvu...am out
 
Wenye moyo watajenga lakini wenye meno ni wengi kuliko wao,tutegemee kuliwa zaidi kuliko kujenga
 
Freedom is coming soon or later
 
Anza kujitokeza wewe,kwani wewe ndio kiini cha maovu yote yanayotokea katika jamii aidha kwa kuyashabikia ama kuyafumbia macho ama kumnyooshea tu mtu kidole na kushindwa kureact...........take good example kwa yule mwanafunzi wa tunisia ndo nawe uanzie hapo,usipoweza better uhame jf
 
Wenye moyo wanaendelea kupiga jaramba na mwelekeo unaonekana kilichobakia ni ukamilishaji tu!!
 
umenikumbusha primary school, long time tulikuwa wazalendo kweli kweli...
..Kweli kabisa mkuu nakumbuka wakati nilipokuwa nakula kiapo cha chipukizi...kuwa mimi ni chipukizi wa Tanzania, nitaitumikia na kuilinda nchi yangu ya Tanzania, muda wowote, mahali popote..ewe mwenyezi mungu nisaidie....ilikuwa inatoka ndani ya moyo kabisa..lakini sasa mambo hovyo hovyo!
 
Umenikumbusha nyimbo za kipindi kile wakati nikiwa Kinda zilikuwa hivi........Taifa litajengwa na wenye moyo, Iya Iya na wenye moyo.......Taifa litajengwa na kina nani.......... Iya iya na wenye moyo......

Yaani nakwambia tulikuwa tunapewa na kujengewa moyo wa Utaifa na Utanzania zaidi.
 
Back
Top Bottom