[color =red]Majambazi handsame ni wale wasomi wanaoiba kwa kutumia kalamu mf escro,epa, etc! lakini siyo wale wanaotembea na majambia kalisokotea kwenye kiuno[/color]
Taharibu ushahidi..je nije chumbani?
Hebu twende PM kwanza... hapa wanga wengi.
Mafichoni mida hii
Tangulia nakujaa
Lowasaaa oyeeeeeee......ooooooohhh sorryy.....UKAWA OYEEEEEEEE
Hivi unajisikia raha sana kunichomesha mahindi??
polepole usije jikwaa!
Afu we demu wangu unakaba mpaka penalti. Khaaa...
lainiiii.....kama unanawaaaa!!!
Hivi unajisikia raha sana kunichomesha mahindi??