johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,879
Katika zoezi la kuboresha daftari la wapiga kura wapiga kura wapya watasajiliwa na wale waliopoteza sifa kuondolewa.
Miongoni mwa wanaopoteza sifa ni pamoja na wale waliofariki na wenye matatizo ya akili.
Hayo yamesemwa na mwakilishi wa Nec katika moja ya semina za kuelimisha jamii huko Musoma
Source Star tv!
Miongoni mwa wanaopoteza sifa ni pamoja na wale waliofariki na wenye matatizo ya akili.
Hayo yamesemwa na mwakilishi wa Nec katika moja ya semina za kuelimisha jamii huko Musoma
Source Star tv!