Huyu Mnyantuzu ananiudhi kweli yaani kazi yake anataka tumfanyie,mbona umbeya aliopeleka kwa balozi wa Marekani kumhusu aliyemteua hakusema tumpelekee .Hosea amesema wanataka watu woote wenye majina yao wampelekee ili waanze kuyashuhulikia, na hatua zichukuliwe.
Hapa naona wameanza kuweka vizuizi!