Tembea na dumuWakuu,
Kutokana na vyuma kukaza na havina expansion joints nimekua makini sana kwenye kuweka mafuta kwenye gari.
Nikagundua kituo fulani fulani wanaiba sana, niliowa experience ni Oilcom Magomeni Kagera, Oilcom Ubungo mataa na Morroco pale niliweka mafuta Oilcom Magomeni Kagera kuna mdada anakitumbo kikubwa sana kaniibia kwakua anaibinya pump kupunguza outlet flow.
Hivyo hivyo Ubungo Oilcom na Morroco, sasa kuanzia leo, nilikifika filling station nashuka na ninamwambia aachie pump.
Ushauri wangu pia kwenu mkifika filling stations please hata kama unaweza mafuta ya 4000 shuka na akiset amount ya pesa mwambie aachie pump ijikate yenyewe, kumuacha aishike wanawaibia sana, mi nimepigwa three times.
Blue monday
Kwa iyo wakibana ndio inakuaje, maana mwisho si inaandika litres imeingia na amount umelipia
Ni kweli huwa wanaiba ila kwa njia tofautofautiSawa,mi ndo nimeibiwa,nimekupa tahadhari tu,
kama hujui kitu ni bora ukanyamaza au ukauliza uelimishwe kuliko kubisha!!!!Kubana pump hakuwezi iba mafuta, kinachozungusha mahesabu ni floor ya mafuta kutoka, abane asibane kinachosoma ni mechanism ya mafuta, hauna point hapa!
Muelimishe basi...kama hujui kitu ni bora ukanyamaza au ukauliza uelimishwe kuliko kubisha!!!!