Wenye magari: Mnaibiwa sana kwenye petrol station

atayekuchezea huu mchezo atakuzuga usichukue risiti, maana risiti itatoka ikionesha 6,000
Umeona sasa. Niliwaambia tangu mwanzo huwezi kucheza huu mchezo wakati risiti inatoka automatically. Sasa utamlaumu nani usipochukua risiti? Kuibiwa kazi sana na mfumo huu wa risiti inabidi uwe mzembe na usiejali.
Wizi unaoweza kufanyika hapa ni labda wai-set mashine yao iwe inaweka 0.8L au ).9L badala ya Lita moja na wizi wa aina hii anaefaidika ni mwenye kituo sio mhudumu. NA watu wa vipimo wanajua hii michezo huwa wanawashtukiza na kukagua, pia watu wenye vidumu ni rahisi kuwalipua wenye mchezo huu.
 
Kuna watu wanambishia mtoa mada wakati hawana magari wala kufanya kazi sheli naona wanaongoza kwa ubishi
 
Kwahio ukichukua risiti yako hapo itasoma 4000 au 10,000 au 14,000? Maanake akimaliza tu risiti inatoka.

cc Stanley Mitchell[/QUOT
Umeona sasa. Niliwaambia tangu mwanzo huwezi kucheza huu mchezo wakati risiti inatoka automatically. Sasa utamlaumu nani usipochukua risiti? Kuibiwa kazi sana na mfumo huu wa risiti inabidi uwe mzembe na usiejali.
Wizi unaoweza kufanyika hapa ni labda wai-set mashine yao iwe inaweka 0.8L au ).9L badala ya Lita moja na wizi wa aina hii anaefaidika ni mwenye kituo sio mhudumu. NA watu wa vipimo wanajua hii michezo huwa wanawashtukiza na kukagua, pia watu wenye vidumu ni rahisi kuwalipua wenye mchezo huu.
Umeona sasa. Niliwaambia tangu mwanzo huwezi kucheza huu mchezo wakati risiti inatoka automatically. Sasa utamlaumu nani usipochukua risiti? Kuibiwa kazi sana na mfumo huu wa risiti inabidi uwe mzembe na usiejali.
Wizi unaoweza kufanyika hapa ni labda wai-set mashine yao iwe inaweka 0.8L au ).9L badala ya Lita moja na wizi wa aina hii anaefaidika ni mwenye kituo sio mhudumu. NA watu wa vipimo wanajua hii michezo huwa wanawashtukiza na kukagua, pia watu wenye vidumu ni rahisi kuwalipua wenye mchezo huu.
Sasa na ujue, kwenye vituo vyenye michezo kuna pump na pump, kwahiyo ukija na unataka full tank unaweza kuambiwa ''embu sogea pump ile, hii haina mafuta ya kutosha'' unaapelekwa kwenye pump iliyosawa, sawasawa na ukienda na madumu/kidumu utapelekwa to a specific pump ambayo iko correctly calibrated. Ukiwa unajaza kawaida ukipaki kwenye kimeo utapigiwa hapo. hii ishu ya mashine inaweza isimuhusu mmiliki, ila ikamuhusu manager/supervisor/msimamizi akishirikiana na mhudumu mmoja, sababu ni kwamba hawa wahudumu hukabidhiwa stock/litres difference itakayotokea wakati wa handover to another shift anatoa pesa yake ambayo ndio mauzo yake, sasa kama mchezo umechezwa na anazo extra litres zimebaki kwenye tank maana yake atabaki na hela mkononi baada ya hesabu kupigwa, mfano ana 400,000tshs mkononi lakini actual litres alizouza zinakuwa na thamani ya 300,000 atakapopigiwa hesabu ya stock aliyopokea na iliyobaki. Kalamba 100,000. yeye na manager wanaenda gawana, mmiliki akikagua hizo risiti atakuta 300,000 kwenye EFD, therefore aliyeibiwa ni mteja ambaye hana utaratibu wa kuchukua risiti. Pia wamiliki wengi hawakuwa na tabia ya kukagua EFD report (labda siku hizi sababu mashine ziko autoconnected na pump) ila hapo nyuma nimeshashuhudia madereva wengi waajiriwa anajaza mafuta ya 40,000 anampa mhudumu 45,000 halafu anapewa risiti ya TRA ya 100,000.
Wamiliki wengi hukagua tu idadi ya litres zilizoletwa, ngapi zimebaki, ngapi zimeuzwa na pesa yake basi, ila kwa ufuatiliaji wa TRA kwa sasa nahisi hii tabia itababdilika. Chukua risiti yako. Ila pia mimi nadhani viscosity ya mafuta inatofautiana vituo na vituo, sababu ni kwamba, pamoja na utaratibu wangu wa kuchukua risiti kila niwekapo mafuta, kuna specific gas stations ambazo nimeshazimark na sitaki kabisa kujaza hapo sababu huwa na experience consumption kuwa kubwa kama nikijaza hapo, nikimaanisha mafuta huisha haraka ( odometer yangu huonesha less expected kms) sitaki kuzitaja lakini hapo kwenye hili sayansi yao nimeinyooshea mikono.
 
Hizi pump EWURA na wakala wa vipimo wanakagua kila mara tena kwa kushtukiza. Siku ingine tembea na kidumu kama wazee wa Boda boda. Teh teh


mbona unatetea sana oil com ? kataa mpaka ulie lakini oil com wezi sana

kwanza kwanini wanakataa kwenda na vidumu vya lita 5 au 10 au 20? majizi makubwa nyie
 
Kuna namna wanaiba maana nna uncle wangu alikuaga sheli daah dogo anasema wanaiba sana na amefanya mambo makubwa sana kulinganisha na mshahara wa petrol station so wizi upo na nishaaibiwa sana sema mechanism sijui
 
mbona unatetea sana oil com ? kataa mpaka ulie lakini oil com wezi sana

kwanza kwanini wanakataa kwenda na vidumu vya lita 5 au 10 au 20? majizi makubwa nyie
Mkuu mimi sitetei Oilcom, ninachokataa ni pump kubanwa wakat wa kutoa mafuta.

Mimi huwa sijazi mafuta kwenye kituo chochote cha Oilcom. Kuna siku nikiwa Morogoro Oilcom nasubiri kujaza mafuta akawa amenitangulia Mnyarwanda na gari lake la IT akawa anajaza mafuta pale. Ile anafungua tu tank tiyari wameshaanza kumjazia na meter inasoma sh 20,000. Lakini mimi nilichoona pale ilianza kusoma shs 15,000. Jamaa akalalamika lakini baadae akasema wamuwekee hadi 50,000.

Kuanzia siku hiyo nikasema sitaweka mafuta OILCOM yoyote kwani wana usimamizi mbovu.

Sasa basi ninachokataa hapa siku tatizo la PUMP tatizo ni watumishi wenyewe kuwa wezi na madereva kuzubaa.
 
Sasa na ujue, kwenye vituo vyenye michezo kuna pump na pump, kwahiyo ukija na unataka full tank unaweza kuambiwa ''embu sogea pump ile, hii haina mafuta ya kutosha'' unaapelekwa kwenye pump iliyosawa, sawasawa na ukienda na madumu/kidumu utapelekwa to a specific pump ambayo iko correctly calibrated. Ukiwa unajaza kawaida ukipaki kwenye kimeo utapigiwa hapo. hii ishu ya mashine inaweza isimuhusu mmiliki, ila ikamuhusu manager/supervisor/msimamizi akishirikiana na mhudumu mmoja, sababu ni kwamba hawa wahudumu hukabidhiwa stock/litres difference itakayotokea wakati wa handover to another shift anatoa pesa yake ambayo ndio mauzo yake, sasa kama mchezo umechezwa na anazo extra litres zimebaki kwenye tank maana yake atabaki na hela mkononi baada ya hesabu kupigwa, mfano ana 400,000tshs mkononi lakini actual litres alizouza zinakuwa na thamani ya 300,000 atakapopigiwa hesabu ya stock aliyopokea na iliyobaki. Kalamba 100,000. yeye na manager wanaenda gawana, mmiliki akikagua hizo risiti atakuta 300,000 kwenye EFD, therefore aliyeibiwa ni mteja ambaye hana utaratibu wa kuchukua risiti. Pia wamiliki wengi hawakuwa na tabia ya kukagua EFD report (labda siku hizi sababu mashine ziko autoconnected na pump) ila hapo nyuma nimeshashuhudia madereva wengi waajiriwa anajaza mafuta ya 40,000 anampa mhudumu 45,000 halafu anapewa risiti ya TRA ya 100,000.
Wamiliki wengi hukagua tu idadi ya litres zilizoletwa, ngapi zimebaki, ngapi zimeuzwa na pesa yake basi, ila kwa ufuatiliaji wa TRA kwa sasa nahisi hii tabia itababdilika. Chukua risiti yako. Ila pia mimi nadhani viscosity ya mafuta inatofautiana vituo na vituo, sababu ni kwamba, pamoja na utaratibu wangu wa kuchukua risiti kila niwekapo mafuta, kuna specific gas stations ambazo nimeshazimark na sitaki kabisa kujaza hapo sababu huwa na experience consumption kuwa kubwa kama nikijaza hapo, nikimaanisha mafuta huisha haraka ( odometer yangu huonesha less expected kms) sitaki kuzitaja lakini hapo kwenye hili sayansi yao nimeinyooshea mikono.
Haya ya kuchaguliana pump yapo sana. Utasikia hii in slow.
 
Wakuu,

Kutokana na vyuma kukaza na havina expansion joints nimekua makini sana kwenye kuweka mafuta kwenye gari.

Nikagundua kituo fulani fulani wanaiba sana, niliowa experience ni Oilcom Magomeni Kagera, Oilcom Ubungo mataa na Morroco pale niliweka mafuta Oilcom Magomeni Kagera kuna mdada anakitumbo kikubwa sana kaniibia kwakua anaibinya pump kupunguza outlet flow.

Hivyo hivyo Ubungo Oilcom na Morroco, sasa kuanzia leo, nilikifika filling station nashuka na ninamwambia aachie pump.

Ushauri wangu pia kwenu mkifika filling stations please hata kama unaweza mafuta ya 4000 shuka na akiset amount ya pesa mwambie aachie pump ijikate yenyewe, kumuacha aishike wanawaibia sana, mi nimepigwa three times.


Blue monday
ni kweli.
jinsi ya kuwazibiti
shuka kwanza,hakikisha mashine wa futa mfumo ulitoka wa huduma ulio toa gari lililo kutangulia.
hakikisha anakuandikia pesa kwenye mashine kujua ujazo unazo weka.
akiweka pampu asishike mpaka mashine inakata maana mashine ipo automatic
 
Wakuu,

Kutokana na vyuma kukaza na havina expansion joints nimekua makini sana kwenye kuweka mafuta kwenye gari.

Nikagundua kituo fulani fulani wanaiba sana, niliowa experience ni Oilcom Magomeni Kagera, Oilcom Ubungo mataa na Morroco pale niliweka mafuta Oilcom Magomeni Kagera kuna mdada anakitumbo kikubwa sana kaniibia kwakua anaibinya pump kupunguza outlet flow.

Hivyo hivyo Ubungo Oilcom na Morroco, sasa kuanzia leo, nilikifika filling station nashuka na ninamwambia aachie pump.

Ushauri wangu pia kwenu mkifika filling stations please hata kama unaweza mafuta ya 4000 shuka na akiset amount ya pesa mwambie aachie pump ijikate yenyewe, kumuacha aishike wanawaibia sana, mi nimepigwa three times.


Blue monday
Haina haja ya kujaza kutoka kwenye mashine kama vipi unaruka na kidumu chako cha lita5 ambacho tayari ni kipimo.
 
mwenye kusikia n asikie wapenda ligi waacheni wabishane how many times TBS na EWURA wanafungia na kuwapiga fine petrol stations kwa kuchakachua mashine pump?
 
Hata
Ndio mnaongea utumbo utumbo wenu, wakija kuwafungulia mashtaka useme ukweli mnajificha matokeo kaka wa watu Melo anakamatwa....

Kama unaibiwa si ukawashitaki polisi??
eti kubana pump ndio kuibiwa mafuta, lol
kweli blue monday.
Hata mimi nilidhani leo ni fools day. Unachopaswa kuangalia ni kuset panel to zero before pumping oil
 
Honestly nasikitika kuchelewa kuchangia hii thread but hata hapa ilipofika si pabaya nitaeleweka tu hata iweje au kama sijaeleweka naruhusu maswali
Honestly mimi ni field superviser katika kampuni mojawapo hapa town ambayo service company katika vituo mbalimbali vya mafuta na deport hapa nchini na east africa
Kwa elimu yangu,ujuzi na experience katika hii field ya petroleum hususani upstream activities na ukiongezea hii department yetu ya metrology ambamo cc tunaofanya kazi za calibration hizi lawama na imani zipo na huu wizi upo ila naomba mnielewe vitu vifuatavyo
Ili huu wizi ufanyike na hizi lawama ziwepo yafuatayo ndo sababu
1.aina ya dispensing pump
2.mechanism(Nguni wa utendaji kazi)
3.uchakavu wa dispensing pump
4.periodic interval of calibration
5.valves and sensors capability
6.counter meter seals and totalizer(e.m.t)
7.angle check valve problems

Nikianza na namba moja hapo juu ni kweli kuna aina ya pump za bei rahis nazo ni rahisi kuchezewa kwenye meter counters kutokakana na kuwa na low security katika section hio iwe manual au digitally kwa mfano pump za mepsan na tokheim ambapo total na puma ndo wanatumia katika vituo vyao vyote duniani ni ngumu sana kuchezea sehemu hii na ina security code more than one
La pili ni mechanism
Kiukweli kwa pump ambazo mimi ninazijua kwa muda mrefu kuna kitu kinaitwa air separator ambapo kwa juu yake kuna kitu kinaitwa breather valve ambayo kazi yake kubwa ni kutoa gase yote iliyopo kwenye line na kuruhusu liquid ku flow
La tatu ni uchakavu wa pump
Pump ikiwa imechakaa huwa inatabia ya kuwa na malfunction katika meters reading either itazidisha au kupunguza na mara nyingi huwa inazidisha cause sensor huwa zinafeli kuwasiliana na valves za high na low

La nne ni calibration
Yaani kuipima pump je inazidiza au kupunguza ukaguzi huu kisheria hufanyika kila baada ya miezi mitatu au kwa emergency pale inapogundulika kuwa inamatatizo


Kwa leo naishia hapa
 
Sasa mimi naomba kuuliza swali. Nimeweka mafuta ya 10,000/- risiti imetoka ya 10,000 ina maana TRA watakata kodi ya 10,000/-, mwenye kituo atachukua 10,000/-. Je huyu muhudumu alieniibia kiasi chochote katika hio 10,000/- atapataje hio hela?! Kumbuka akija mwingine kuweka itatoka risiti ya hela aliolipa na mtiririko huo huo kwenda TRA na mmiliki wa kituo. Huyu mhudumu anafaidika nini?!

Zamani wakati risiti hazitoki automatically naweza kujua mhudumu anafaidika vipi. Hapa kama kweli mafuta yanayoingia ni tofauti na hela unayolipa mwenye kituo na TRA ndio wanaofaidika vinginevyo mhudumu awe anakula na tajiri yake.

Ngoja nikupe elimu ndogo ya maji ya dawasco, ukienda kwny mita na kukata maji siyo kwamba majin nakatika hapo hapo bali hukaa mda kidogo ndio yanakatika kabisa so kuna maji yana baki kwny mpira na yanasunguka pia, unavyoset mafuta ya 10,000 pump inaruhusu maduta ya 10,000 lakin kwny sehemu ya kutolea mafuta unaweza kuzui hayo mafuta yasitoke! Hukiachia pump mafuta hayatoki lakin Pump inapeleka mafuta, kama ni ivyo anakuwekea mafuta then kabla hajamaliza anabana pump na kuacha kiasi kidogo kwny mpira ambacho ni kama robo na nusu lita sasa ukiondoka anakiachikabkwny madumu pembeni na kuhuza separeti, mafuta lita ni kama 2000 akiweka lita kumi si 20000 iyo kwa siku
 
Ngoja nikupe elimu ndogo ya maji ya dawasco, ukienda kwny mita na kukata maji siyo kwamba majin nakatika hapo hapo bali hukaa mda kidogo ndio yanakatika kabisa so kuna maji yana baki kwny mpira na yanasunguka pia, unavyoset mafuta ya 10,000 pump inaruhusu maduta ya 10,000 lakin kwny sehemu ya kutolea mafuta unaweza kuzui hayo mafuta yasitoke! Hukiachia pump mafuta hayatoki lakin Pump inapeleka mafuta, kama ni ivyo anakuwekea mafuta then kabla hajamaliza anabana pump na kuacha kiasi kidogo kwny mpira ambacho ni kama robo na nusu lita sasa ukiondoka anakiachikabkwny madumu pembeni na kuhuza separeti, mafuta lita ni kama 2000 akiweka lita kumi si 20000 iyo kwa siku
Jesus Christ. Sihitaji elimu.
 
Ngoja nikupe elimu ndogo ya maji ya dawasco, ukienda kwny mita na kukata maji siyo kwamba majin nakatika hapo hapo bali hukaa mda kidogo ndio yanakatika kabisa so kuna maji yana baki kwny mpira na yanasunguka pia, unavyoset mafuta ya 10,000 pump inaruhusu maduta ya 10,000 lakin kwny sehemu ya kutolea mafuta unaweza kuzui hayo mafuta yasitoke! Hukiachia pump mafuta hayatoki lakin Pump inapeleka mafuta, kama ni ivyo anakuwekea mafuta then kabla hajamaliza anabana pump na kuacha kiasi kidogo kwny mpira ambacho ni kama robo na nusu lita sasa ukiondoka anakiachikabkwny madumu pembeni na kuhuza separeti, mafuta lita ni kama 2000 akiweka lita kumi si 20000 iyo kwa siku
Unachosema ndicho kinatokea. Jana nikamuambia muhudumu asiguse mkono wa kujazia haraka harka baada ya pump kukata, akaniuliza kwanini, nikamumbia mafuta yanakuwa bado yampo kwenye mpira. Akaanza kutoa povu, anawaambia hadi madereva wakaribu yaani anataka kunidhalilisha mimi kama ni mshamba. Kaongea weee nikaachana naye. Nilishanga sana kwanini alikuwa anatoa povuu, nikajua tu hapa nimegonga ikulu. Maana hela nimetoa mimi sasa nakuambia subiri kwanza usitoe pampu na haikuchukua hata sekunde tano kwa nini unatoa povu kama si umeona nimekutibulia ishu yako..
 
Mafuta ya 4000 ni lita 2 kasoro. Unaharibia Oilcom biashara wakati huwapi faida.
 
Back
Top Bottom