Bigmaaan
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 486
- 1,130
Nimecheka, nimehuzunika na nimewaza maisha ya utoto na uvulana. Kwa kweli kuna muda unatamani wakati urudi nyuma, ila haiwezekani. Nadhani watoto wa 80s na 90s tumepitia same parenting culture.
Mimi mzee wangu alikuwa Dingi na Mshua. Mshua kwa maana was a provider ila kwenye malezi alikuwa ni dingi.
Kuna visheria vya ukax sana. Mfano, sikukuu ilikuwa ni marufuku kutoka nje. Au nguo za sikukuu hakuwahi kutununulia. Alikuwa na falsafa kuwa ukizoea siku akikosa, itakuwa depressed.
Kipigo pia mzee katembeza sana.
Nakumbuka kuna siku weekend tunaenda kupanda maharage, asubuhi bimkubwa kapika uji. Jamaa tukagoma kunywa uji mkavu. Hatuna hili wala lile, mida ya saa 7 msosi kavu haujaja. Basi tukagonga maembe , tumerudi home, kumbe mzee aliambiwa na maza tumegomea msosi, aise. Tukapiga msosi mida ya saa 10. Saa 1 usiku, tukaitwa tukaambiwa kila mmoja abaki na bukta tu. Zilitembea stick, unapigwa tano, anaingia mwingine kamzunguko. Aise, hesabu yangu nakumbuka zilifika zaidi ya fimbo 50. Kilituokoa Babu aliingilia kati. Akamuambia nipige mimi🤣
Mimi mzee wangu alikuwa Dingi na Mshua. Mshua kwa maana was a provider ila kwenye malezi alikuwa ni dingi.
Kuna visheria vya ukax sana. Mfano, sikukuu ilikuwa ni marufuku kutoka nje. Au nguo za sikukuu hakuwahi kutununulia. Alikuwa na falsafa kuwa ukizoea siku akikosa, itakuwa depressed.
Kipigo pia mzee katembeza sana.
Nakumbuka kuna siku weekend tunaenda kupanda maharage, asubuhi bimkubwa kapika uji. Jamaa tukagoma kunywa uji mkavu. Hatuna hili wala lile, mida ya saa 7 msosi kavu haujaja. Basi tukagonga maembe , tumerudi home, kumbe mzee aliambiwa na maza tumegomea msosi, aise. Tukapiga msosi mida ya saa 10. Saa 1 usiku, tukaitwa tukaambiwa kila mmoja abaki na bukta tu. Zilitembea stick, unapigwa tano, anaingia mwingine kamzunguko. Aise, hesabu yangu nakumbuka zilifika zaidi ya fimbo 50. Kilituokoa Babu aliingilia kati. Akamuambia nipige mimi🤣