Dah...
Kutembea kwa miguu kuna faida kibao, kunachangamsha akili, kuna nyoosha misuli, kunakufanya uwe na afya nzuri, unajionea vitu vingi kwa ukaribu zaidi.
Kama hauna haraka ya kuwahi uendako, tembea kwa miguuu.
Kama utakuwa na haraka panda daladala. Bora shida ya daladala kuliko masimango ya lifti.