wenye div 3 hawaendi kidato cha tano

Tatizo watu mnaogopa kusoma thread ndefu--humu jamvini nimeshaweka uchambuzi wa matokeo ya form IV 2013! In short, kama ingetumika 2012 grading system, C zote, narudia, "C" ZOTE za 2013 ni D, Likewise most if NOT ALL Div III ni Div IV! So, ikitokea Div III hawachaguliwi Form V, basi ni sahihi kabisa!
 
Tatizo watu mnaogopa kusoma thread ndefu--humu jamvini nimeshaweka uchambuzi wa matokeo ya form IV 2013! In short, kama ingetumika 2012 grading system, C zote, narudia, "C" ZOTE za 2013 ni D, Likewise most if NOT ALL Div III ni Div IV! So, ikitokea Div III hawachaguliwi Form V, basi ni sahihi kabisa!
mwongo sana c inaanzia 40-50 na 2012 ilianzia 41 -59 hiyo D umetoa huko kwenu
 
mwongo sana c inaanzia 40-50 na 2012 ilianzia 41 -59 hiyo D umetoa huko kwenu
Hujui unachoongea wewe, kwahiyo nyamaza. Hii hapa Taarifa ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu.

"Katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012 Baraza lilitumia mfumo huu wa alama mgando ambapo: A = 80 – 100, B = 65 – 79, C = 50 – 64, D = 35 – 49, F = 0 – 34. Kwa upande wa Kidato cha Sita Baraza lilitumia mfumo wa A = 80 – 100; B = 75 - 79; C = 65 – 74; D = 55 – 64; E = 45 – 54; S = 40 – 44 na F = 0 – 39. Mifumo hii ya Baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo kuwa sehemu ya malalamiko katika sekta ya elimu na mafunzo." Nenda hata kwenye tovuti yao utaikuta... kwahiyo bado inathibitiha hoja yangu kwamba watu tu wavivu wa kusoma.
 
Hujui unachoongea wewe, kwahiyo nyamaza. Hii hapa Taarifa ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu.

"Katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012 Baraza lilitumia mfumo huu wa alama mgando ambapo: A = 80 – 100, B = 65 – 79, C = 50 – 64, D = 35 – 49, F = 0 – 34. Kwa upande wa Kidato cha Sita Baraza lilitumia mfumo wa A = 80 – 100; B = 75 - 79; C = 65 – 74; D = 55 – 64; E = 45 – 54; S = 40 – 44 na F = 0 – 39. Mifumo hii ya Baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo kuwa sehemu ya malalamiko katika sekta ya elimu na mafunzo." Nenda hata kwenye tovuti yao utaikuta... kwahiyo bado inathibitiha hoja yangu kwamba watu tu wavivu wa kusoma.

Mimi nilifanya huo mtihani.hizo data zako hazikuwahi kutumika kwa o level. Walijaribu mwaka juzi kwa mwaka juzi ndo ikabidi warudie upya
 
Mimi nilifanya huo mtihani.hizo data zako hazikuwahi kutumika kwa o level. Walijaribu mwaka juzi kwa mwaka juzi ndo ikabidi warudie upya
Unaona sasa!! Kumbe ulifanya huo mtihani... meaning bado ni mwanafunzi! Sasa ukiwa kama mwanafunzi unafahamu sheria za Baraza? Hivi wanafunzi wangapi wanadhani kwamba D zamani ilikuwa inaanzia 21 wakati ukweli ni kwamba hizo D za 21 ni grading solely done ins schools lakini Baraza tangu zamani D yao inaanzia 35! Halafu unavyosema Data zangu hazikutumika... data zangu zipi wakati nimeshakuambia hiyo ni Taarifa ambayo ilitolewa na Wizara? Halafu angalia unavyojichanganya... unasema hazijawahi kutumika halafu tena unasema walijaribu mwaka juzi ndio maana wakarudia upya!! Kwani suala la Standardization ambalo lilifanyika hiyo mwaka juzi ambayo unaita walirudia tena unadhani ni jambo geni?

All in all, nimekuambia nenda tovuti ya Wizara utakuta taarifa mzima... kwahiyo nenda ukawabishie wizara kwa sababu ndio wametoa hiyo taarifa.
 
Unaona sasa!! Kumbe ulifanya huo mtihani... meaning bado ni mwanafunzi! Sasa ukiwa kama mwanafunzi unafahamu sheria za Baraza? Hivi wanafunzi wangapi wanadhani kwamba D zamani ilikuwa inaanzia 21 wakati ukweli ni kwamba hizo D za 21 ni grading solely done ins schools lakini Baraza tangu zamani D yao inaanzia 35! Halafu unavyosema Data zangu hazikutumika... data zangu zipi wakati nimeshakuambia hiyo ni Taarifa ambayo ilitolewa na Wizara? Halafu angalia unavyojichanganya... unasema hazijawahi kutumika halafu tena unasema walijaribu mwaka juzi ndio maana wakarudia upya!! Kwani suala la Standardization ambalo lilifanyika hiyo mwaka juzi ambayo unaita walirudia tena unadhani ni jambo geni?

All in all, nimekuambia nenda tovuti ya Wizara utakuta taarifa mzima... kwahiyo nenda ukawabishie wizara kwa sababu ndio wametoa hiyo taarifa.
Hata ka zipo utekelezaji ndo hamna.div 1 mpaka 3 wote wataenda form 5.huo ndo muongozo wa wizara.
 
Hata ka zipo utekelezaji ndo hamna.div 1 mpaka 3 wote wataenda form 5.huo ndo muongozo wa wizara.
Sasa kuna mtu amesema hawaendi? Nilichosema ni kwamba hao waliopata C mwaka 2013, kama utatumia grading system ya 2012 basi C zao zote zinakuwa dissolved to D na hivyo kutokuwa na sifa.
 
Mkuu dah! vipi we ni ukawa ama kuna kitu unapata cha juu zaid! naona unajitoa kuelezea! utafikiri wizara ya elimu bahna? ni shida andika kitabu but onyo acha kulaghai vijana na taarie za uongo! njoo tukupe mwongozo sisi wenye nchi mzeya!
 
Sasa kuna mtu amesema hawaendi? Nilichosema ni kwamba hao waliopata C mwaka 2013, kama utatumia grading system ya 2012 basi C zao zote zinakuwa dissolved to D na hivyo kutokuwa na sifa.


Hayo ya mwaka 2012 unasemea yepi ?
Mana Wali arrange mara Mbili ?

Be specific kwanza
 
Sasa kuna mtu amesema hawaendi? Nilichosema ni kwamba hao waliopata C mwaka 2013, kama utatumia grading system ya 2012 basi C zao zote zinakuwa dissolved to D na hivyo kutokuwa na sifa.

sasa kwani wamekwambia wanatumia granding system ya 2012?WE VIIPI
 
Sasa kuna mtu amesema hawaendi? Nilichosema ni kwamba hao waliopata C mwaka 2013, kama utatumia grading system ya 2012 basi C zao zote zinakuwa dissolved to D na hivyo kutokuwa na sifa.
mfano nilipata maths 45% itawekwa daraja c????
 
Hayo ya mwaka 2012 unasemea yepi ?
Mana Wali arrange mara Mbili ?

Be specific kwanza
Kama nilivyoeleza hapo awali, mimi nimenukuu taarifa ya wizara kwamba viwango nilivyoweka ndivyo vilitumika 2012. Lakini hata hivyo, kupanga matokeo mara ya pili haimaanishi kwamba walibadilisha grading system... unless kama bado upo sekondari ukiwa lakini hata vyuo vikuu inapotokea matokeo kuwa mabaya, huwa wanafanya standardization... si kwamba wanatumia new grading system; la hasha. Hivyo basi, hata kama 2012 matokeo walibadilisha, inawezekana kabisa kilichokuwa kimefanyika ni standardization tu na sio kubadilisha grading system... hivi ni vitu viwili tofauti. Taarifa ya Wizara hii hapa:

Muundo wa Pili ni wa viwango vinavyotumiwa na Baraza la Mitihani la Taifa ambapo ambapo kabla ya mwaka 2012 muundo wa viwango nyumbufu (flexible grade ranges) ulitumika. Katika muundo huu uwigo wa alama ulibadilika badilika kulingana na hali ya matokeo ilivyokuwa kwa mwaka husika. Lakini kuanzia mwaka 2012, Serikali iliamua kutumia mfumo wa Upangaji wa Alama Mgando (Fixed Grade Range) kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita. Katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012 Baraza lilitumia mfumo huu wa alama mgando ambapo: A = 80 – 100, B = 65 – 79, C = 50 – 64, D = 35 – 49, F = 0 – 34. Kwa upande wa Kidato cha Sita Baraza lilitumia mfumo wa A = 80 – 100; B = 75 - 79; C = 65 – 74; D = 55 – 64; E = 45 – 54; S = 40 – 44 na F = 0 – 39. Mifumo hii ya Baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo kuwa sehemu ya malalamiko katika sekta ya elimu na mafunzo.
 
Maelezo mengi Mkuu wakati unajua hizo alama hazikutumika !

Na unajua wali arrange mara mbili !
Na hiyo mara ya pili walitumia alama zile zile za zamani !

Hizi chuki nyingine zakijinga !


Kama nilivyoeleza hapo awali, mimi nimenukuu taarifa ya wizara kwamba viwango nilivyoweka ndivyo vilitumika 2012. Lakini hata hivyo, kupanga matokeo mara ya pili haimaanishi kwamba walibadilisha grading system... unless kama bado upo sekondari ukiwa lakini hata vyuo vikuu inapotokea matokeo kuwa mabaya, huwa wanafanya standardization... si kwamba wanatumia new grading system; la hasha. Hivyo basi, hata kama 2012 matokeo walibadilisha, inawezekana kabisa kilichokuwa kimefanyika ni standardization tu na sio kubadilisha grading system... hivi ni vitu viwili tofauti. Taarifa ya Wizara hii hapa:

Muundo wa Pili ni wa viwango vinavyotumiwa na Baraza la Mitihani la Taifa ambapo ambapo kabla ya mwaka 2012 muundo wa viwango nyumbufu (flexible grade ranges) ulitumika. Katika muundo huu uwigo wa alama ulibadilika badilika kulingana na hali ya matokeo ilivyokuwa kwa mwaka husika. Lakini kuanzia mwaka 2012, Serikali iliamua kutumia mfumo wa Upangaji wa Alama Mgando (Fixed Grade Range) kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita. Katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012 Baraza lilitumia mfumo huu wa alama mgando ambapo: A = 80 – 100, B = 65 – 79, C = 50 – 64, D = 35 – 49, F = 0 – 34. Kwa upande wa Kidato cha Sita Baraza lilitumia mfumo wa A = 80 – 100; B = 75 - 79; C = 65 – 74; D = 55 – 64; E = 45 – 54; S = 40 – 44 na F = 0 – 39. Mifumo hii ya Baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo kuwa sehemu ya malalamiko katika sekta ya elimu na mafunzo.
 
Back
Top Bottom