wenye bahati kama mimi ni wachache

Wakuu tuache utani hii kitu ipo kwa kweli, Na bongo mademu wote wazuri wana ukimwi hasa hawa ma miss na ma model, Tuwe makini sana jamani mimi mwenyewe nimenusulika kama kwa wa 2 hivi bahati nzuri huwa nashtuka nikimpiga maswali mengi at the end nakuja kuona kilio na kusema nakupenda sana ila sitopenda kukuharibia maisha yako, nikiona hivyo najuwa tayari mambo yameharibika, so wakuu tusidharau hii thread hasa dar ukimwi upo mwingi na since hapo sichezi tena na maisha yangu hata kidogo.so ukweli ndio huo jamani nikikumbuka inahuzunisha sana unamuona msichana mzuri wa miaka 25 ameathirika sijui tunaenda wapi kwa kweli.....
 
kiranga, wakati huo sikuwa na hofu ya Mungu sana, na kwa matendo yangu hayo machafu na jinsi nilivyonusurika, Mungu alikuwa ananipa onyo, nimemrudia, nimetulia,no more usinzi

Sio wewe tu mzee nimenusulika kwenye tundu la choo sema niliambiwa ukweli straight ila baada ya kudadisi na mikwara nataka kwenda hospital na wewe ili tuenjoy maisha vizuri basi nikaanza kuambiwa kila kitu,nikasema mungu mkubwa since hapo aisee nimetulia vibaya sana acha kabisa sichezi ovyo tena..hii kitu inaitwa HIV inauwa jamani!!
 
Sio wewe tu mzee nimenusulika kwenye tundu la choo sema niliambiwa ukweli straight ila baada ya kudadisi na mikwara nataka kwenda hospital na wewe ili tuenjoy maisha vizuri basi nikaanza kuambiwa kila kitu,nikasema mungu mkubwa since hapo aisee nimetulia vibaya sana acha kabisa sichezi ovyo tena..hii kitu inaitwa HIV inauwa jamani!!
Usingedadidisi ungepewa tunda kwa moyo mmoja,dah hatari sana
 
Wa pili mwaka 2004 tulifika kabisa kitandani tunataka kuanza, nikapigiwa simu ya msiba, tukaahirisha, baada ya msiba nikakumbushia, akaniambia ameathirika, she is now very sik, bed riden, namtembeleaga. verry sory of her.
mmh ndugu hongera naona mungu ana mpango na ww jaman.
nways usimkatishe tamaa jaman huyu mungu we2 aliyetokea kukupenda na kukuepusha na mabalaa ya dunia hii, imean u2lie daima uache kuruka ruka nikuambie 2 ukiruka tena unalo ilo.
 
Gudmoning grt thinkers. nashukuru waliotoa ushuhuda kuwa walishakutana na ishu za kufanana na hii yangu, na wanakiri Mungu aliwanusuru. either, nawapa pole wale wanaonikejeli kuwa this is a cooked story. i know thomases ar there, but this aint a joke. the message i want u guys out thea to grab is this, usione dem mrembo sana, smart in all angles, elimu na fedha, ukazuzuka kuwa yuko safe. na pia si kuwa nilikuwa malaya kivile, ila nilikuwa ktk hatua za kutafuta mchumba. kwa hiyo hata mtu mwingine yoyote ktk hatua za ujana unaweza fall in this kind of songombingo
 
Mimi ishawahi nitokea nadhan kama mnakumbuka kuna post nlipost hapa kuhusu tukio kati yangu na dada flani. Thanks God yuko alive na anaendelea vizuri.
 
Recently nilikutana na kijana, anadai yeye hapati ukimwi. Aliishi na mdada akiwa chuo for 3 yrs, na wakapima ukimwi kama mara 3. Dada anao na yeye hana, ila anadai mara ya kwanza mdada alimuomba msamaha wakaendelea na mapenzi kwa kinga. Then akaamua hataki tena condoms. In the end wana mtoto wa 4 yrs, but waliachana coz mdada ni kicheche. Namfuatilia huyu jamaa tufanye utafiti, either hana binding factor kwa hiv virus or if it is lucky nadhani nyota yake tukiitoa copy itauzika,lol
 
Recently nilikutana na kijana, anadai yeye hapati ukimwi. Aliishi na mdada akiwa chuo for 3 yrs, na wakapima ukimwi kama mara 3. Dada anao na yeye hana, ila anadai mara ya kwanza mdada alimuomba msamaha wakaendelea na mapenzi kwa kinga. Then akaamua hataki tena condoms. In the end wana mtoto wa 4 yrs, but waliachana coz mdada ni kicheche. Namfuatilia huyu jamaa tufanye utafiti, either hana binding factor kwa hiv virus or if it is lucky nadhani nyota yake tukiitoa copy itauzika,lol

yeah, this in medical is termed as discordant couples, applies when a man and a woman living 2getha, one is hiv positiv and doing unprotected sex, the other who is hiv neg doesnt acquire the virus! the later has no hiv receptors on his,her immune cells
 
mmh ndugu hongera naona mungu ana mpango na ww jaman.
nways usimkatishe tamaa jaman huyu mungu we2 aliyetokea kukupenda na kukuepusha na mabalaa ya dunia hii, imean u2lie daima uache kuruka ruka nikuambie 2 ukiruka tena unalo ilo.

Thanx obsd, nimeshaacha hayo mambo rafiki, kindly rejea post za jana
 
Nilishakuwa na uzoefu kama huo,nlitana na dem moja chuo kama miaka mitatu 2takazoeana siku moja nkamtembelea chumbani kwake na mates wakawa wanaenda club tukabaki wawili akaomba nimpecompany hadi rafiki zake warudi kwenye saa nane akaanza vibweka kama anapresha nkamvua nnamsponji nkataka kuduu ndo akaniambia anagoma nlichoka mana nkaanza kukumbuka vitu flani ambavyo vilinipa ushahidi tosha alikuwa anatumia ARV's.Tuache hii mambo tukakwisha!
 
na hivi ndo wengi wanavoukwaa, tatizo upo pahala patamu ambapo kinature sote tunapahitaji. Na sasa inatisha sana, utaona kijana mdogo tu au msichana mrembo tn mdogo ki-age lkn tayari anaishi na HIV. Kwa ufupi tuwe macho na tuwe na hadhari, starehe ya muda mfupi isije ikatuharibia maisha na ndoto zetu zikapotea. Tz bila Ukimwi inawezekana.
 
Wa pili mwaka 2004 tulifika kabisa kitandani tunataka kuanza, nikapigiwa simu ya msiba, tukaahirisha, baada ya msiba nikakumbushia, akaniambia ameathirika, she is now very sik, bed riden, namtembeleaga. verry sory of her.


Na hata mara hiyo hukuwa na Condoms?????:A S embarassed:
Una moyo wewe, yaani una kitu kipya kitandani unapigiwa simu unapokea?
 
Nilishakuwa na uzoefu kama huo,nlitana na dem moja chuo kama miaka mitatu 2takazoeana siku moja nkamtembelea chumbani kwake na mates wakawa wanaenda club tukabaki wawili akaomba nimpecompany hadi rafiki zake warudi kwenye saa nane akaanza vibweka kama anapresha nkamvua nnamsponji nkataka kuduu ndo akaniambia anagoma nlichoka mana nkaanza kukumbuka vitu flani ambavyo vilinipa ushahidi tosha alikuwa anatumia ARV's.Tuache hii mambo tukakwisha!

Gvampa pole na hongera kunusurika, huyo dem inabidi umheshimu na kumpenda zaidi kwani alikuokoa.
 
Jamani hamna mwanadada/mke ambaye amewahi kukutana na situation kama hii? yaan aliyewahi kumzimikia man halafu mkadate, then inafika hight point anakupiga stop kwa sababu ameathirika? plz share wit us ur story!
 
kaka jifunze kutokufanya tendo la ndoa kablaa ya ndoa, na ukioa usitoke nje! uzinzi ni dhambi kubwaaaa saaaana!
 
Back
Top Bottom