Wenye akili sana maisha huishia njiani

Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari wakuu,

Leo naomba tuongee kuhusu hawa vichwa waliokuwa wanakimbiza darasani...

Unakuta mtu ni namba 1 tu...

Hawa vipanga wa darasani wengi wao wapo mitaani yaani hawaeleweki...

Nimekaa na watu mbalimbali wanasema wale waliokuwa wakisoma nao na walikuwa wanaakili sana hawajafanikiwa..

Wapo wanaosema kuwa wanaishia vibaya Yani pamoja na akili zao za shule ila maisha magumu...

Yaani wengine ni walevi na wengine ni choka mbaya huko duniani..

Wengine wamechanganyikiwa hawana akili nzuri yani wehu...

Ukija la swala la kutafuta wao yaani wanaangukia pua...

NB: Sio wote wenye akili darasani huishia njiani wengine hufanikiwa...
Swali;
Nini kinawapata hawa watuwenye akili darasani?
Ubarikiwe,

(Mhubiri 9:11) Swali lako limejibiwa vizuri.

Wakati na Bahati huwapata wote.....

Amen
 
Ila issue ya u 'kipanga' na kukosa maisha mazuri baada ya elimu ni sisi vilaza ndio tunaikuza, wapo vipanga wengi sana wenye maisha mazuri vile vile wapo vilaza wengi sana wenye maisha yasiyoridhisha. Ila vilaza kwa sababu tunapenda kujifariji tukiona aliyekuwa kipanga tuko nae level moja ya maisha au ametuzidi kidogo tunaona kama hajafanikiwa kwa sababu tunabadilisha marks za kwenye mitihani ya shule na maendeleo
 
Vilaza wengi hata kwenye maisha wamepigika.

Hapa ndio kuna ukweli, kuna maticha wa shule ya msingi walinitabiria nitakuwa mvuta bangi na hawakukosea

20231021_151712.jpg
 
Wengi wanategemeaga elimu kwa 100% ili watoboe matokeo yake wanaangukia pua
Hawaweki akili zao kuangalia upande mwingine wa maisha ni wao na vitabu tu...Akina siye sasa leo ukisikia semina ya batiki upo....kulima tikiti upooo....sijui kufuga samaki na vyura huyoooo....msimu wa mihogo utakaangaa basi tu mradi utoboe
Sasa wasomi wakija mtaani na elimu yao ya ya kwenye vitabu hawatoboi maisha ya kitaa magumu sana...wanaishia kuhangaika na CV zao huku wakiitukana serikali
Ni kweli kabisa umenena, elimu ya kwenye makaratasi ni tofauti na ya vitendo.wasomi wengi hawaipendi elimu yavitedo,(za kuambiwa changanya na za kwako utatoboa.)
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari wakuu,

Leo naomba tuongee kuhusu hawa vichwa waliokuwa wanakimbiza darasani...

Unakuta mtu ni namba 1 tu...

Hawa vipanga wa darasani wengi wao wapo mitaani yaani hawaeleweki...

Nimekaa na watu mbalimbali wanasema wale waliokuwa wakisoma nao na walikuwa wanaakili sana hawajafanikiwa..

Wapo wanaosema kuwa wanaishia vibaya Yani pamoja na akili zao za shule ila maisha magumu...

Yaani wengine ni walevi na wengine ni choka mbaya huko duniani..

Wengine wamechanganyikiwa hawana akili nzuri yani wehu...

Ukija la swala la kutafuta wao yaani wanaangukia pua...

NB: Sio wote wenye akili darasani huishia njiani wengine hufanikiwa...
Swali;
Nini kinawapata hawa watuwenye akili darasani?
Kibongo, Mtaani kunahitaji kugezea zaidi kuliko kuvumbua kipya!
 
Mtaani kwangu enzi zetu hakuna aliyefaulu kwenda five na akambwela ...Yaani nakuambia mmoja namjua ni Manager CRBD ana asili ya kiarabu mwingine alipiga pale Tanga tech alikuwa kipanga sasa ana maabara kubwa ya kujitegemea kweny ishu za mionzi na ana pesa mbaya.

.

Huko jeshini ndio wapo kibao kuwa wahasibu wakubwa ,wengine wapo nje....Sijaju madogo janja hawa wa miaka ya 2000's but miaka hiyo nilikuwa navutiwa ndio maana nilisoma sana yaani wana wamekuja kubadilisha maisha ya kwao hatari..

Kuna jamaa simtaji maana kanifundisha hesabu sana kwa topic jero🀣🀣 ila sasa yupo mbali ,nilikutana nae kigambano ana gorofa huko tulicheka sana hiyo siku .
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari wakuu,

Leo naomba tuongee kuhusu hawa vichwa waliokuwa wanakimbiza darasani...

Unakuta mtu ni namba 1 tu...

Hawa vipanga wa darasani wengi wao wapo mitaani yaani hawaeleweki...

Nimekaa na watu mbalimbali wanasema wale waliokuwa wakisoma nao na walikuwa wanaakili sana hawajafanikiwa..

Wapo wanaosema kuwa wanaishia vibaya Yani pamoja na akili zao za shule ila maisha magumu...

Yaani wengine ni walevi na wengine ni choka mbaya huko duniani..

Wengine wamechanganyikiwa hawana akili nzuri yani wehu...

Ukija la swala la kutafuta wao yaani wanaangukia pua...

NB: Sio wote wenye akili darasani huishia njiani wengine hufanikiwa...
Swali;
Nini kinawapata hawa watuwenye akili darasani?
Mbaya zaidi wengine wanaishia kazi ya kufundisha watoto WETU.

Ujue nini mkali
maisha hayana formula sababu hatukuja hapa duniani kusoma kwa chaki.
 
Poa tu. Nyie vilaza chekeleeni lakini wote tutakufa na kufukiwa
Acha nileweeeee

Hapa nina furaha na nipenda kujistarehesha mwenyewe, uwepo wangu ni lengo tosha. Dhumuni langu ni kutokuwa na dhumuni. Unaweza ukapanga upendavyo, lakini huwezi kunishawishi kuwa mambo yatakuwa mazuri zaidi ya yalivyokuwa. Wewe na mipango yako, mimi na maisha yangu
 
Back
Top Bottom