Wenye akili CHADEMA wapo kimya

Wenye akili CHADEMA wapo kimya

Ni Lazima niseme ukweli kuwa CHADEMA imeyumba mno na kama jitihada za makusudi hazijafanyika basi hiki chama kinakufa rasmi.

Haya Madudu ya akina Mbowe yanayoendelea kuanikwa na kutolewa utetezi usioeleweka yananifanya mimi niliyekuwa naichukia CCM nianze kutafakari upya kwani kwa sasa SIONI TOFAUTI YA CCM na CHADEMA (na huenda CHADEMA wanaweza kuwa hatari zaidi).

Nimefuatilia kiasi kauli za wabunge wa CHADEMA [ambao ndiyo wanafahamika sana] wakiongea kuhusu swala la Kitila, ZZK, Mwigamba -kwa kweli nimesikitika sana. Nimesikitika kwa kuwa mwanzoni niliwaona wabunge hawa kuwa vichwa ila kwa sasa nawaona viumbe hatari sana.

Ukiachilia mbali mbunge Lema ambaye yeye amekuwa haeleweki vema kwenye baadhi ya kauli zake kwa muda mrefu sasa, Mnyika, Mch. Msigwa na Lissu kwa kweli wameharibu CV zao vibaya mno kwa utumbo waliouongea kuhusiana na mgogoro unaofukuta Chadema. Sikuamini mtu kama Mnyika, Msigwa na Lissu wanaweza ku-support udikteta wa akina Slaa na Mbowe (na wengine wote) wa kuwaona wahaini watu ambao wanamawazo mbadala wa namna ya kumpata kiongozi wa chama. Mnyika ndo niliyekuwa namwamini sana lakini naye kajitosa kwenye siasa za ki-imla hata sijui kwa sababu gani.

Naomba nichukue fursa hii kuwapongeza wabunge na wanachama mahsusi wa Chadema ambao at least wameonyesha akili kwa kukaa kimya.

Ndiyo, pamoja na kwamba kukaa kimya wakati madudu yanaendelea ni unafiki, lakini ni heri ukae kimya uonekane una-akili kuliko kuongea ku-support madudu. Pongezi hizi ziende kwa Mbunge Joshua Nassari, Mbunge Halima Mdee, Wakili Mabere Marando, Prof. Safari na wengine wote ambao wamesahaulika wakati wa kutoa maoni haya.

UPDATES

Wakili Mabare Marando na Prof Safari nimewatoa rasmi kwenye list ya kupongezwa baada ya kusoma gazeti la Mtanzania wakisema wanaunga mkono maamuzi ya kamati kuu ya Chadema kwa maamuzi yaliyofanyika dhidi ya wale wanaoitwa wahaini. Vituko havitaisha Tanzania!

Inchi hii inauzwa, inapotea nyie mnaleta utani.. !!
 
Ninyi ccm mbona mmekomaa sana na huyu zzk? mchukueni. chama kinachoongoza serikali inayofaulisha watoto wasiojua A wala B, operation tokomeza etc, bado umeng'ang'ania tu, kisa ladha ya makombo ya ufisadi. Ubwege hautaisha Nchi hii!
 
wewe ni kibaraka wa zito. kama unabisha angalia comments zako kwenye hiyo attachment.<br><br>quote<br><div style="margin-left:-12.8pt;">1.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya.html" title="Wenye akili CHADEMA wapo kimya">Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a><br></div><div>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">79<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">3,285<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya-post8316407.html#post8316407">Re: Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a></strong><br></div><div>Heri yako wewe mwenye ushabiki wa AKILI uliyeishia kuandika sentensi moja bila hata kutoa sababu ya kwa nini unasema hivyo, pole sana lakini.<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">2.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; Today,&nbsp;14:54<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya.html" title="Wenye akili CHADEMA wapo kimya">Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">79<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">3,285<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya-post8316318.html#post8316318">Re: Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a></strong><br></div><div>Ungeandika bila kutukana ningekuona huna funza kichwani, ila mpaka hapo umedhihirisha kuwa ni hamnazo. Kwani prof Safari, Lissu, Marando na Mnyika ni nani? si ni binadamu tu waliopitia shule kama...<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">3.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; Today,&nbsp;14:37<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya.html" title="Wenye akili CHADEMA wapo kimya">Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">79<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">3,285<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya-post8316169.html#post8316169">Re: Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a></strong><br></div><div>Kwa hiyo wewe kosa umeliona upande mmoja tu wa ZZK kumwaga mboga? Na hao waliomwaga ugali? duuu hivi watanzania tumefikia hapa?<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">4.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; Today,&nbsp;14:33<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya.html" title="Wenye akili CHADEMA wapo kimya">Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">79<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">3,285<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya-post8316140.html#post8316140">Re: Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a></strong><br></div><div>Kwa akili zako wewe unaona hicho kilichofanywa na akina Zito ni uhaini? seriously? Eeee Mungu katuumba tofauti aiseeee! Na hayo ya ufujaji wa mali za chama ya Slaa na Mbowe tuyaite nini? Hivi...<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">5.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; Today,&nbsp;14:26<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya.html" title="Wenye akili CHADEMA wapo kimya">Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">79<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">3,285<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya-post8316076.html#post8316076">Re: Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a></strong><br></div><div>Wala hakuna mtu mwenye akili timamu anayetaka ife, ila kwa madudu yanayoendelea ndani ya chama na ushabiki wa kiji-nga wa wanachama wake mbumbumbu na viongozi wenye shule ndogo basi hapo chama...<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">6.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; Today,&nbsp;14:24<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya.html" title="Wenye akili CHADEMA wapo kimya">Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">79<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">3,285<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya-post8316047.html#post8316047">Re: Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a></strong><br></div><div>Mungu akusamehe bure, sidhani kama unajua unachokiandika. Aliyekwambia kuwa mwanachama wa chama fulani ni NDOA nani? Kwamba ulitaka ZZK akae kimya ili madudu ya akina Mbowe yaendelee tu kwa faida...<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">7.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; Today,&nbsp;14:01<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya-post8315740.html#post8315740">Re: Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a></strong><br></div><div>Sawasawa kabisa, hata uliyoyaandika hapo juu nayo ni kwa mujibu wa mtazamo wako. Kumbuka kuwa akina ZZK, Kitila na Mwigamba walivuliwa nafasi zao za uongozi ndani ya chama KABLA hata ya kupewa nafasi...<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">8.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; Today,&nbsp;13:40<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya.html" title="Wenye akili CHADEMA wapo kimya">Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">79<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">3,285<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya-post8315682.html#post8315682">Re: Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a></strong><br></div><div>Yes, huwezi ukawa mbele kwenye issue ambazo hazina mashiko na bado nikakuona unafaa. Kupata mkakati wa kugombea tena kwenye chama cha demokrasia haiwezekani hata siku moja kukawa ni kufanya UHAINI....<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">9.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; Today,&nbsp;13:35<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya.html" title="Wenye akili CHADEMA wapo kimya">Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">79<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">3,285<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya-post8315644.html#post8315644">Re: Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a></strong><br></div><div>Kama kupanga kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama ni njama za kukiuua chama basi hicho chama hakifai hatakuwepo. Kwani ZZK angepata wapi kura za kushinda hata kuwa mwenyekiti? Na kama mtu ambaye...<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">10.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; Today,&nbsp;03:06<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya.html" title="Wenye akili CHADEMA wapo kimya">Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">79<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">3,285<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581820-wenye-akili-chadema-wapo-kimya.html#post8312506">Wenye akili CHADEMA wapo kimya</a></strong><br></div><div>Ni Lazima niseme ukweli kuwa CHADEMA imeyumba mno na kama jitihada za makusudi hazijafanyika basi hiki chama kinakufa rasmi.&nbsp;<br><br>Haya Madudu ya akina Mbowe yanayoendelea kuanikwa na kutolewa utetezi...<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">11.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; 4th January 2014,&nbsp;06:30<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/580068-chadema-wakunjana-mahakamani-dar-es-salaam.html" title="CHADEMA wakunjana mahakamani Dar es Salaam">CHADEMA wakunjana mahakamani Dar es Salaam</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">63<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">4,028<br></div><div><strong>News Alert:</strong>&nbsp;<strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/580068-chadema-wakunjana-mahakamani-dar-es-salaam.html#post8280005">CHADEMA wakunjana mahakamani Dar es Salaam</a></strong><br></div><div>130032130033photos -wavuti.com&nbsp;<br><br><br>WAFUASI wa Chadema, jana walileta vurugu na kupigana katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam na baadhi kumzomea Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe...<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">12.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; 4th January 2014,&nbsp;06:10<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/578988-zitto-aweka-pingamizi-mahakamani-kuzuia-kikao-cha-kamati-kuu-kujadili-rufaa-yake-kesho.html" title="Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho">Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">1,241<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">75,505<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/578988-zitto-aweka-pingamizi-mahakamani-kuzuia-kikao-cha-kamati-kuu-kujadili-rufaa-yake-kesho-post8279978.html#post8279978">Re: Zitto huwezi kutatua tatizo juu ya tatizo</a></strong><br></div><div>Soma hii taarifa ya mwanasheria wake labda utatoka usingizini. Na hata usipoamua kuamka wala hamna shida we endelea kuota kuwa Zitto kachemsha.&nbsp;<br><br><br>Taarifa kwa Vyombo vya habari&nbsp;<br>11/12/2013&nbsp;<br><br>Baada...<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">13.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; 4th January 2014,&nbsp;05:56<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/578988-zitto-aweka-pingamizi-mahakamani-kuzuia-kikao-cha-kamati-kuu-kujadili-rufaa-yake-kesho.html" title="Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho">Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">1,241<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">75,505<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/578988-zitto-aweka-pingamizi-mahakamani-kuzuia-kikao-cha-kamati-kuu-kujadili-rufaa-yake-kesho-post8279961.html#post8279961">Re: Zitto huwezi kutatua tatizo juu ya tatizo</a></strong><br></div><div>Na najua ukiendelea kuwa mwanachadema utasema matusi mengi tu -kawaida yenu na hayo hayanisumbui. <strong>KWA TAARIFA YAKO MIMI SI MFUASI WA ZITO, SINA CHAMA CHOCHOTE NA CCM NAICHUKIA HAKUNA MFANOWE NA WALA...</strong><br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">14.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; 4th January 2014,&nbsp;05:38<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/578988-zitto-aweka-pingamizi-mahakamani-kuzuia-kikao-cha-kamati-kuu-kujadili-rufaa-yake-kesho.html" title="Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho">Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">1,241<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">75,505<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/578988-zitto-aweka-pingamizi-mahakamani-kuzuia-kikao-cha-kamati-kuu-kujadili-rufaa-yake-kesho-post8279935.html#post8279935">Re: Zitto huwezi kutatua tatizo juu ya tatizo</a></strong><br></div><div>Tafadhali eleza umeitoa wapi hiyo basis unayoisema (kwenye red)<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">15.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; 4th January 2014,&nbsp;05:20<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/578988-zitto-aweka-pingamizi-mahakamani-kuzuia-kikao-cha-kamati-kuu-kujadili-rufaa-yake-kesho.html" title="Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho">Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">1,241<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">75,505<br></div><div><strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/578988-zitto-aweka-pingamizi-mahakamani-kuzuia-kikao-cha-kamati-kuu-kujadili-rufaa-yake-kesho-post8279913.html#post8279913">Re: Zitto huwezi kutatua tatizo juu ya tatizo</a></strong><br></div><div>Hivi watu mnaamua tu kujiandikia ama mnatake trouble kusoma kile kinachopingwa na Zitto? Zito anatetea utawala wa sheria katika Chama, yaani kanuni zifuatwe. Hayo mambo unayoyaandika wewe na...<br></div><div style="margin-left:-18.5pt;">16.&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp; 4th January 2014,&nbsp;04:54<br></div><div>Topic:&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/579996-kamati-kuu-chadema-kwazuka-ugomvi-mjumbe-wa-kigoma-apigwa.html" title="Kamati Kuu CHADEMA kwazuka ugomvi, Mjumbe wa Kigoma apigwa">Kamati Kuu CHADEMA kwazuka ugomvi, Mjumbe wa Kigoma apigwa</a><br>by&nbsp;<a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=115909">Natania</a><br></div><div>Replies<br></div><div style="margin-left:.5in;">302<br></div><div>Views<br></div><div style="margin-left:.5in;">17,887<br></div><div><strong>News Alert:</strong>&nbsp;<strong><img border="0" width="18" height="18" src="file:///C:\Users\VETAAD~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif" alt="https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png"></strong>&nbsp;<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/579996-kamati-kuu-chadema-kwazuka-ugomvi-mjumbe-wa-kigoma-apigwa-post8279834.html#post8279834">Re: Kamati Kuu CHADEMA kwazuka ugomvi, Mjumbe wa Kigoma apigwa</a></strong><br></div><div>Yaani wewe unawaza Zito kuondoka tu, kwanini hao wanaifanya CDM saccos yao wasiondoke? Yaani kwa akili yako unaona Zito akiondoka basi lichama lenu litakuwa shwari eeee? jambo usilolijua kweli ni... quote<br></div>
 
Ni Lazima niseme ukweli kuwa CHADEMA imeyumba mno na kama jitihada za makusudi hazijafanyika basi hiki chama kinakufa rasmi.

Haya Madudu ya akina Mbowe yanayoendelea kuanikwa na kutolewa utetezi usioeleweka yananifanya mimi niliyekuwa naichukia CCM nianze kutafakari upya kwani kwa sasa SIONI TOFAUTI YA CCM na CHADEMA (na huenda CHADEMA wanaweza kuwa hatari zaidi).

Nimefuatilia kiasi kauli za wabunge wa CHADEMA [ambao ndiyo wanafahamika sana] wakiongea kuhusu swala la Kitila, ZZK, Mwigamba -kwa kweli nimesikitika sana. Nimesikitika kwa kuwa mwanzoni niliwaona wabunge hawa kuwa vichwa ila kwa sasa nawaona viumbe hatari sana.

Ukiachilia mbali mbunge Lema ambaye yeye amekuwa haeleweki vema kwenye baadhi ya kauli zake kwa muda mrefu sasa, Mnyika, Mch. Msigwa na Lissu kwa kweli wameharibu CV zao vibaya mno kwa utumbo waliouongea kuhusiana na mgogoro unaofukuta Chadema. Sikuamini mtu kama Mnyika, Msigwa na Lissu wanaweza ku-support udikteta wa akina Slaa na Mbowe (na wengine wote) wa kuwaona wahaini watu ambao wanamawazo mbadala wa namna ya kumpata kiongozi wa chama. Mnyika ndo niliyekuwa namwamini sana lakini naye kajitosa kwenye siasa za ki-imla hata sijui kwa sababu gani.

Naomba nichukue fursa hii kuwapongeza wabunge na wanachama mahsusi wa Chadema ambao at least wameonyesha akili kwa kukaa kimya.

Ndiyo, pamoja na kwamba kukaa kimya wakati madudu yanaendelea ni unafiki, lakini ni heri ukae kimya uonekane una-akili kuliko kuongea ku-support madudu. Pongezi hizi ziende kwa Mbunge Joshua Nassari, Mbunge Halima Mdee, Wakili Mabere Marando, Prof. Safari na wengine wote ambao wamesahaulika wakati wa kutoa maoni haya.

UPDATES

Wakili Mabare Marando na Prof Safari nimewatoa rasmi kwenye list ya kupongezwa baada ya kusoma gazeti la Mtanzania wakisema wanaunga mkono maamuzi ya kamati kuu ya Chadema kwa maamuzi yaliyofanyika dhidi ya wale wanaoitwa wahaini. Vituko havitaisha Tanzania!


Mkuu unajua hata kichaa akitulia,au akishika gazeti hufikiriwa mzima, mara nyingine anawezaongea jambo ukajiuliza ndugu yangu kapona?, baada ya muda mfupi ataongeza neno kudhihilisha kuwa bado kichaa. mfano mchana kweupe jua linawaka akaanza kusema mvua inanyesha. Kwa hiyo update yako na wewe tukuweke kundi gani. Hivi kweli huyu wakili na prof. wanahitaji pongezi kutoka kwako? Kumbe shida ni kufukuzwa ZK!!! Kwa upeo wako ulitaka wtz wapinge? Eti natoa pongezi kwa Mabere & Prof. ww ni nani? Kama kuandika tu hata watoto wanaandika chini kwa sbb hawana sm, laptop. Hakika watanzania wenye akili timamu mijini &Vjjn wanaafiki maamuzi ya kamati kuu.
 
Copy to JMAkamba maana mna undugu

I subscribe to the brotherhood of mankind, in that regard, nina undugu na binadamu wote.

Vinginevyo, funguka ufafanue undugu gani unaouongelea.

Kwa nyongeza tu, Makamba nishamchana sana hapa, kwa hiyo habari yako kwamba nina undugu wa kihivyo haina ushawishi kwa watu wanaonifuatilia vizuri.
 
mkuu yaonekana ulichukia ccm tu bilakujua kwanini uliichukia.kwa mtu aliyejipa mda wa kutafakari na kuibuka na sababu zanmsingi kwanini aichukie ccm,hawezi kuipenda eti kwasababu cdm imefanana na ccm.Mimi naichukia ccm kwa sababu za msingi,hii haijalishi kama kuna mbadala wake au la.naichukia ccm kuliko ninavyoipenda cdm.kwahiyo hata ikitokea cdm ikafa(jambo ambalo siliamini hatahivyo, maana sijaona lolote walilofanya linaloashiria kufa), na hata ikitokea Tanzania nzima hakuna chama kingine zaidi ya ccm, bado nitaichukia tu,maana sababu za kuichukia haziondolewi na kutokuwepo mbadala.

Duh!! Umempa somo muruwa kabisa!!! Je ataelewa kweli??
 
Pamoja na mengi ambayo yamesemwa na wenye CDM bado sijaskia watu wakitoa hoja za kina MM, M1, M2 na M3 zikitolewa ufafanuzi. Zijasikia Mbowe au msema chochote kinachotoka aka Lissu na wenzie kama je ni kweli Mbowe na kina Komu walikiokpesaha chama ama la? Je mbowe na wenzie walichomoa ukurasa kwenye katiba yao ili kufanikisha malengo yao? Je ni kweli magari yamenunuliwa na Mbowe kupitia washirika au kampuni yake? Mamboa ya mkopo wa NBC na NHC juu ya Mbowe ni ya kweli? Je waraka wa siri wa CDM dhidi ya Zito ulitoka makao makuu ya chama? Hayo yote yamefunikwa kwa hija ya zito na wenzie kukisaliti chama na kutaka kufanya uhaini. Je haya si yale ya Salva kiir wa Southern Sudan?

Nadhani haya mambo baadaye akijapatikana mtchmbuzi mzuri akayaweka vyema chadema itakua taabani, pia lazima cdm itambue kuwa wanataka kushika dola je kama hata katiba inafanyiwa mambo ili maslahi ya watu fulani yatimie unadhani ikishika nchi nini kitafuata?

Mimi siamini sana wanasiasa maana kila mmoja ana lake jambo rohoni na akilini ila anacheza na akili za wapigakura wake tu akishaingia hasa kwetu wadanganyika ndiyo mwisho wa kukujua akijarudi tena tumeshasahua. Watu ukipinga chama chao au uongozi wao wanakudunda je wakiwa madarakani ukiwakosoa? si ndiyo utajikuta shimo la tewa? si utajikuta huna kucha wala meno? si ndiyo gazeti au chombo cha habari kitafungwa kwa muda usio julikana? je zinakua nyingi sana hivyo wanachadema mnavyojadili humu lazima mjadili kwa hoja kuntu za mshawishi mwanachadema aendelee kuwa loyal kwenye chama na asiye mwanachandema ajiunge nanyi.

Huo ndiyo wosia wangu
 
ni lazima niseme ukweli kuwa chadema imeyumba mno na kama jitihada za makusudi hazijafanyika basi hiki chama kinakufa rasmi.

Haya madudu ya akina mbowe yanayoendelea kuanikwa na kutolewa utetezi usioeleweka yananifanya mimi niliyekuwa naichukia ccm nianze kutafakari upya kwani kwa sasa sioni tofauti ya ccm na chadema (na huenda chadema wanaweza kuwa hatari zaidi).

Nimefuatilia kiasi kauli za wabunge wa chadema [ambao ndiyo wanafahamika sana] wakiongea kuhusu swala la kitila, zzk, mwigamba -kwa kweli nimesikitika sana. Nimesikitika kwa kuwa mwanzoni niliwaona wabunge hawa kuwa vichwa ila kwa sasa nawaona viumbe hatari sana.

Ukiachilia mbali mbunge lema ambaye yeye amekuwa haeleweki vema kwenye baadhi ya kauli zake kwa muda mrefu sasa, mnyika, mch. Msigwa na lissu kwa kweli wameharibu cv zao vibaya mno kwa utumbo waliouongea kuhusiana na mgogoro unaofukuta chadema. Sikuamini mtu kama mnyika, msigwa na lissu wanaweza ku-support udikteta wa akina slaa na mbowe (na wengine wote) wa kuwaona wahaini watu ambao wanamawazo mbadala wa namna ya kumpata kiongozi wa chama. Mnyika ndo niliyekuwa namwamini sana lakini naye kajitosa kwenye siasa za ki-imla hata sijui kwa sababu gani.

Naomba nichukue fursa hii kuwapongeza wabunge na wanachama mahsusi wa chadema ambao at least wameonyesha akili kwa kukaa kimya.

Ndiyo, pamoja na kwamba kukaa kimya wakati madudu yanaendelea ni unafiki, lakini ni heri ukae kimya uonekane una-akili kuliko kuongea ku-support madudu. Pongezi hizi ziende kwa mbunge joshua nassari, mbunge halima mdee, wakili mabere marando, prof. Safari na wengine wote ambao wamesahaulika wakati wa kutoa maoni haya.

updates

wakili mabare marando na prof safari nimewatoa rasmi kwenye list ya kupongezwa baada ya kusoma gazeti la mtanzania wakisema wanaunga mkono maamuzi ya kamati kuu ya chadema kwa maamuzi yaliyofanyika dhidi ya wale wanaoitwa wahaini. Vituko havitaisha tanzania!

acha uongo chama kiko imara kabisa tafuta vitu vyenye tija vya kupost toa ujinga
 
acha uongo chama kiko imara kabisa tafuta vitu vyenye tija vya kupost toa ujinga
 
Ni Lazima niseme ukweli kuwa CHADEMA imeyumba mno na kama jitihada za makusudi hazijafanyika basi hiki chama kinakufa rasmi.

Haya Madudu ya akina Mbowe yanayoendelea kuanikwa na kutolewa utetezi usioeleweka yananifanya mimi niliyekuwa naichukia CCM nianze kutafakari upya kwani kwa sasa SIONI TOFAUTI YA CCM na CHADEMA (na huenda CHADEMA wanaweza kuwa hatari zaidi).

Nimefuatilia kiasi kauli za wabunge wa CHADEMA [ambao ndiyo wanafahamika sana] wakiongea kuhusu swala la Kitila, ZZK, Mwigamba -kwa kweli nimesikitika sana. Nimesikitika kwa kuwa mwanzoni niliwaona wabunge hawa kuwa vichwa ila kwa sasa nawaona viumbe hatari sana.

Ukiachilia mbali mbunge Lema ambaye yeye amekuwa haeleweki vema kwenye baadhi ya kauli zake kwa muda mrefu sasa, Mnyika, Mch. Msigwa na Lissu kwa kweli wameharibu CV zao vibaya mno kwa utumbo waliouongea kuhusiana na mgogoro unaofukuta Chadema. Sikuamini mtu kama Mnyika, Msigwa na Lissu wanaweza ku-support udikteta wa akina Slaa na Mbowe (na wengine wote) wa kuwaona wahaini watu ambao wanamawazo mbadala wa namna ya kumpata kiongozi wa chama. Mnyika ndo niliyekuwa namwamini sana lakini naye kajitosa kwenye siasa za ki-imla hata sijui kwa sababu gani.

Naomba nichukue fursa hii kuwapongeza wabunge na wanachama mahsusi wa Chadema ambao at least wameonyesha akili kwa kukaa kimya.

Ndiyo, pamoja na kwamba kukaa kimya wakati madudu yanaendelea ni unafiki, lakini ni heri ukae kimya uonekane una-akili kuliko kuongea ku-support madudu. Pongezi hizi ziende kwa Mbunge Joshua Nassari, Mbunge Halima Mdee, Wakili Mabere Marando, Prof. Safari na wengine wote ambao wamesahaulika wakati wa kutoa maoni haya.

UPDATES

Wakili Mabare Marando na Prof Safari nimewatoa rasmi kwenye list ya kupongezwa baada ya kusoma gazeti la Mtanzania wakisema wanaunga mkono maamuzi ya kamati kuu ya Chadema kwa maamuzi yaliyofanyika dhidi ya wale wanaoitwa wahaini. Vituko havitaisha Tanzania!


yaan hta mie nimerudi nyuma kjn ana akili sana kuliko hta hao wa kaskazini
 
acha uongo chama kiko imara kabisa tafuta vitu vyenye tija vya kupost toa ujinga

Hongera wewe MWENYE AKILI uliyeishia kuandika hayo hapo juu bila kutoa sababu hata moja, ni kawaida yenu lakini, pole sana
 
Mkuu unajua hata kichaa akitulia,au akishika gazeti hufikiriwa mzima, mara nyingine anawezaongea jambo ukajiuliza ndugu yangu kapona?, baada ya muda mfupi ataongeza neno kudhihilisha kuwa bado kichaa. mfano mchana kweupe jua linawaka akaanza kusema mvua inanyesha. Kwa hiyo update yako na wewe tukuweke kundi gani. Hivi kweli huyu wakili na prof. wanahitaji pongezi kutoka kwako? Kumbe shida ni kufukuzwa ZK!!! Kwa upeo wako ulitaka wtz wapinge? Eti natoa pongezi kwa Mabere & Prof. ww ni nani? Kama kuandika tu hata watoto wanaandika chini kwa sbb hawana sm, laptop. Hakika watanzania wenye akili timamu mijini &Vjjn wanaafiki maamuzi ya kamati kuu.

Hongera kwa kujisema we mwenyewe na huo ndo ukweli unaotakiwa uuseme kwani unajifahamu sawasawa. Unauliza maswali ya ajabu kweli eti wewe ni nani? hujui kuwa mi Mtanganyika halisi? Ulitaka niwe wa wapi ndo niruhusiwe kuwapongeza ama kutokuwapongeza wanaofanya vema ama kuharibu respectively?

Naona umejiandikia tu kama watoto wasio na laptop. Aliyekwambia watanzania WOTE mijini na vijijini wanaafiki uamuzi mbovu kama wa kamati kuu ya chadema ni nani? Labda Watanzania wa Arusha, lakini nako siyo wote kwani kuna wengine akili zao bado zinafanya kazi hawawezi kuunga mkono uhuni wa kumwita mtu MHAINI eti kisa kapanga mkakati wa kugombea nafasi ya uongozi na kushinda. It doesn't take a rocket scientist to tell that the central committee of Chadema is making decisions based on fads and not facts. Let's wait and see.
 
zitto akafie mbele a safari na kama ccm wanaona kaonewa wamchukue mbona wanamtetea akiwa cdm?
 
Nilishaandika hapa kwamba CHADEMA kiufupi ni CCM-B, na watu kama kina Mnyika ingawa wanaweza kuwa smart, wanaweza kuponzwa na mwenendo wa chama kizima.

Watu wakaona huyo Kiranga tu.

Na kwa kweli haya si yote, kuna mengine mabaya zaidi yamejificha.

Wanaosemana kwa mabaya hawaanzi kwa kuanika mabaya yote kwa kawaida, yale mabaya zaidi hubakishwa vita vikikomaa.

Nahofia kwamba yale machafu kabisa bado hatujayajua.

Umenena
 



Ukiachilia mbali mbunge Lema ambaye yeye amekuwa haeleweki vema kwenye baadhi ya kauli zake kwa muda mrefu sasa, Mnyika, Mch. Msigwa na Lissu kwa kweli wameharibu CV zao vibaya mno kwa utumbo waliouongea kuhusiana na mgogoro unaofukuta Chadema. Sikuamini mtu kama Mnyika, Msigwa na Lissu wanaweza ku-support udikteta wa akina Slaa na Mbowe (na wengine wote) wa kuwaona wahaini watu ambao wanamawazo mbadala wa namna ya kumpata kiongozi wa chama. Mnyika ndo niliyekuwa namwamini sana lakini naye kajitosa kwenye siasa za ki-imla hata sijui kwa sababu gani.


Wewe una utetezi gani kuhusu msimamo wako katika swala hili?

Mageuzi yoyote yana taratibu zake. CDM hatuwezi kuruhusu demokrasia isiyo na mipaka. Hakuna kitu cha namna hiyo hata katika mataifa makubwa kama Marekani. Kuruhusu hivyo ni kuruhusu vurugu katika chama. Na hicho ndio tunachokataa CDM. Kama ZZK alitaka mabadiliko angetumia taratibu za Chama ambazo anazielewa. Kama taratibu zilikuwa zinamfunga, basi angetumia ushawishi wake kufanya mabadiliko ndani ya chama.

Nampenda ZZK lakini naomba nitofautiane naye katika hili.

POLITICS IS A ROUGH GAME. UNFORTUNATELY YOUR OPPONENT CAN BE THE OTHER POLITICAL PARTY, BUT MORE OFTEN IT IS THE OTHER GUY OR THE OTHER FACTION WITHIN YOUR OWN PARTY. HOW YOU PLAY BALL WILL DETERMINE YOUR POLITICAL FUTURE. THAT IS POLITICS.
 
Wewe una utetezi gani kuhusu msimamo wako katika swala hili?

Mageuzi yoyote yana taratibu zake. CDM hatuwezi kuruhusu demokrasia isiyo na mipaka. Hakuna kitu cha namna hiyo hata katika mataifa makubwa kama Marekani. Kuruhusu hivyo ni kuruhusu vurugu katika chama. Na hicho ndio tunachokataa CDM. Kama ZZK alitaka mabadiliko angetumia taratibu za Chama ambazo anazielewa. Kama taratibu zilikuwa zinamfunga, basi angetumia ushawishi wake kufanya mabadiliko ndani ya chama.

Nampenda ZZK lakini naomba nitofautiane naye katika hili.

POLITICS IS A ROUGH GAME. UNFORTUNATELY YOUR OPPONENT CAN BE THE OTHER POLITICAL PARTY, BUT MORE OFTEN IT IS THE OTHER GUY OR THE OTHER FACTION WITHIN YOUR OWN PARTY. HOW YOU PLAY BALL WILL DETERMINE YOUR POLITICAL FUTURE. THAT IS POLITICS.

Okay, let's work under assumption that ZZK is wrong (though I dont subscribe to it) -who else from Chadema leadership is supposed to be fired? I wont believe ZZK was the only wrong doer, there must be others and if the media reported right, Mbowe has more serious allegations than those of ZZK. Should Mbowe follow suit?
 
Ni Lazima niseme ukweli kuwa CHADEMA imeyumba mno na kama jitihada za makusudi hazijafanyika basi hiki chama kinakufa rasmi.

Haya Madudu ya akina Mbowe yanayoendelea kuanikwa na kutolewa utetezi usioeleweka yananifanya mimi niliyekuwa naichukia CCM nianze kutafakari upya kwani kwa sasa SIONI TOFAUTI YA CCM na CHADEMA (na huenda CHADEMA wanaweza kuwa hatari zaidi).

Nimefuatilia kiasi kauli za wabunge wa CHADEMA [ambao ndiyo wanafahamika sana] wakiongea kuhusu swala la Kitila, ZZK, Mwigamba -kwa kweli nimesikitika sana. Nimesikitika kwa kuwa mwanzoni niliwaona wabunge hawa kuwa vichwa ila kwa sasa nawaona viumbe hatari sana.

Ukiachilia mbali mbunge Lema ambaye yeye amekuwa haeleweki vema kwenye baadhi ya kauli zake kwa muda mrefu sasa, Mnyika, Mch. Msigwa na Lissu kwa kweli wameharibu CV zao vibaya mno kwa utumbo waliouongea kuhusiana na mgogoro unaofukuta Chadema. Sikuamini mtu kama Mnyika, Msigwa na Lissu wanaweza ku-support udikteta wa akina Slaa na Mbowe (na wengine wote) wa kuwaona wahaini watu ambao wanamawazo mbadala wa namna ya kumpata kiongozi wa chama. Mnyika ndo niliyekuwa namwamini sana lakini naye kajitosa kwenye siasa za ki-imla hata sijui kwa sababu gani.

Naomba nichukue fursa hii kuwapongeza wabunge na wanachama mahsusi wa Chadema ambao at least wameonyesha akili kwa kukaa kimya.

Ndiyo, pamoja na kwamba kukaa kimya wakati madudu yanaendelea ni unafiki, lakini ni heri ukae kimya uonekane una-akili kuliko kuongea ku-support madudu. Pongezi hizi ziende kwa Mbunge Joshua Nassari, Mbunge Halima Mdee, Wakili Mabere Marando, Prof. Safari na wengine wote ambao wamesahaulika wakati wa kutoa maoni haya.

UPDATES

Wakili Mabare Marando na Prof Safari nimewatoa rasmi kwenye list ya kupongezwa baada ya kusoma gazeti la Mtanzania wakisema wanaunga mkono maamuzi ya kamati kuu ya Chadema kwa maamuzi yaliyofanyika dhidi ya wale wanaoitwa wahaini. Vituko havitaisha Tanzania!

Ukiwapongeza ww wanapata nn na usipowapongeza wanakosa nn!
 
Back
Top Bottom