Jamani nijulisheni baada ya wenje jana kuwa wilayani bukoba na kumwaga sumu ya nguvu kwa watu wa bukoba, je leo anaelekea wapi? Ni lini atapita huku biharamulo na geita?? Natanguliza shukrani zangu
Kamanda baada ya ziara ya wenje Bukoba mjini jana leo wanaelekea wilayani Muleba ambapo watakuwa na mikutano mikuu ya hadhara mitatu kwenye vituo vya muhutwe, Makongora na Ntakatanga. Kesho watakuwa biharamulo kwa siku mbili hatmaye waningia Geita, sengerema, Jijijini Mwanza na kumalizia Ukerewe. naomba kuwasirisha
Peoplessssssssssssssssssssssssssssssss, hakuna .......mpaka...............sema mpaka walale wao na wakilala wengine wanawalalia.................................juujuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.