Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,572
- 31,887
Ahahahahah!! Nimecheka sana kwa kukusaidia tu. apo kwenye uwanja Sahara pembeni yake kuna shule ya msingi Bugarika..ukikaa apo shuleni unaona huo mkutano.teh teh teh..pole ritz mkutano haufanyiki bugarika bali sahara katikati ya jiji tatizo ukiona chadema presha inashuka hadi zero halafu macho hayaoni vizuri