newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Too Hot for JF
Kama ulikuwepo ktk huo mkutano,tujulishe.sina sababu ya kutoiamini Wapo Fm. kwani wapo makini kulinganisha na the other popular fmWatanzania bana!!! Tupu!!
Sasa umesikia habari nusu na wewe umeweka conclusion yako. Sisi Watanzania ni mafundi Sana wa kutoa ushauri, hata Kama hatujajua tatizo!!
Sisi wote ni makocha, mahakimu, wanasiasa wasio na mawaa!!!
Kama ulikuwepo ktk huo mkutano,tujulishe.sina sababu ya kutoiamini Wapo Fm. kwani wapo makini kulinganisha na the other popular fm
Radio wapo,itabidi warudie hii taarifa kwani nimemuuliza MP wa cdm hajui kutokea hili jambo. au ndio coveruphabari hii nimeisikia WAPO FM lakini ilivyoripotiwa ikanitia mashaka japo tukio hilo linaweza kuwa limetokea,kilichoelezwa ni kuwa walikuwa kwenye kikao cha kamati tendaji ya wilaya,mh Wenje alipishana lugha na katibu wa baraza la vijana wilaya ya Nyamagana ikapelekea kujibizana vibaya na mwisho Wenje akatoa bastola na kutaka kum-shoot katibu huyo wa baraza la vijana,akaokolewa na mbunge wa viti maalum kwa kuipiga teke bastola ya wenje,sasa hapa ndipo nilipoanza kuishitukia news hiyo,kwani mbunge huyo wa viti maalum kwa kukmbukumbu zangu simjui kabisa na wala sina taarifa kama kuna mbunge wa viti maalum anatoka mwanza mjini,na jina walilolitaja kwangu ni geni kabisa,nimepiga simu hata mwanza mtu niliempigia alionekana kutokufahamu chochote na sasa najiandaa kupiga simu tena ili nipate picha kamili.
Ila kwa juu juu story nimeipata hivyo,labda Ntamaholo tueleze maana wewe uko MWZ