nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Ni Mafuriko Hapa Uwanja Wa S/Msingi Mabatini.Picha Zinakuja.CCM double efforts inatakiwa kumtoa huyu dogo.
Kura za Lowassa hapo zipo za kutosha!?Ni Mafuriko Hapa Uwanja Wa S/Msingi Mabatini.Picha Zinakuja.CCM double efforts inatakiwa kumtoa huyu dogo.
Sasa CCM wamebaki wenyewe, mwizi mashuhuri wa kura aliwakimbia, mchawi wao mashuhuri kawakimbia, imebaki zamu ya Nkapa.Ccm wanakuja sasa hivi utasikia matusi na kashfa na hivi Mzee kingunge ametoka kuwapa vipande vyao tutasikia mengi.
Ccm wanakuja sasa hivi utasikia matusi na kashfa na hivi Mzee kingunge ametoka kuwapa vipande vyao tutasikia mengi.
Kura za Lowassa hapo zipo za kutosha!?
Wenje ana wiki sasa anazunguka kwa chopa..kuanzia kishiri hadi igoma..mitaa yoite kaivuruga wanaimba mabadiliko
Mkutano wa mbugani alimleta shilole na ngoma ya ritungu, safari hii kaona wakurya wa mabatini awazuge na chopa na vicent.
Hachomokii.
Mkutano wa mbugani alimleta shilole na ngoma ya ritungu, safari hii kaona wakurya wa mabatini awazuge na chopa na vicent.
Hachomokii.