akiwa kwa mbali na kavaa nguo ya kijani akii unaweza tuma mtu ukasema kaniokotee ile pilipili hoho kuleeee (cheka tu,it's just a joke)Mkuu mbona kama povu hivi.
Ila kweli kabisa, hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kitaja na kitajwa, mfano huku mtaani kwetu kuna binti wanamuita Jack kiandunje, ana umbo la pilipili kama katokea msitu wa Congo.
Kweli mkuu..... Hata Mimi sijawahi!!Sijawahi kumuona Irene mbaya
Chunusi ni ishu ya mpito.... Akipona huyo utamsahauNimewaona wa2 na mmoja anamachunusi kama majipu usoni
Ndo umeishia kwenye chunusi namaanisha macho yangu hayakumbariki kama ni mzuri licha ya chunusi zakeChunusi ni ishu ya mpito.... Akipona huyo utamsahau
Nakubalina nawe mia kwa mia mahondaw