Wengi wapo kwenye ndoa

Wengi wapo kwenye ndoa

NDOA SIO SIFA MKUU NA SIJAONA UMUHIMU WAKE
USISUBUTU KUINGIA HUKO UTAJUTA KILA KUKICHA TUNAWAAMULIA KESI MARA KUCHAPIWA MARA MATATIZO MARA MKE HAPENDI NDUGU ZANGU


SIWEZI INGIA KWENYE ILO SHIMO WE TATUFA WATOTO BASI KUOA WAACHIE WALUGALUGA

NA MDA SI MREFU WATAKUJA KUJIFARIJI HAPA
Mkuu inaonekana wewe ndio huna sifa ya kuwa kwenye ndoa. Ndoa ni nzuri na ni raha sana.

Hao unaotaka kuwazalisha ndio utapata taabu kila siku utakuja na nyuzi humu za kulalamika.
 
Sijui kwanini vijana wengi siku hizi wanaona ndoa ni mkosi au balaa ? Ila mimi napenda niwaeleze tu kwamba kama Kuna jambo lenye furaha duniani no Ndoa Kama utaweza kujua siri ya ndoa ambayo ni uvumilivu lakni hayo mengine mnayoyapenda ni ushetani na ubatili mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wape lekcha mkuu, vijana sikuhizi hawataki kuoa/kuolewa, kwa hisia zao wanaona wako sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom