Kaliculus
JF-Expert Member
- Nov 8, 2019
- 271
- 248
Asilimia kubwa ya wanawake ambao nimesoma nao, shuleni hawakuwa na mambo mengi, hawakuwa na mvuto kiviile, hawakuwahi kutokea hata kwenye top 20, yaani kiujumla walikuwa washamba washamba hivi. Leo hii wapo kwenye ndoa.
Hata vijana wangu niliowafundisha, wale ambao darasani walikuwa vilaza, regardless ya personality zao. Wengi wapo kwenye ndoa.
Sijui kama wanafurahia au laah! Lakini wapo kwenye ndoa zao. Upande wa pili sasa ni balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata vijana wangu niliowafundisha, wale ambao darasani walikuwa vilaza, regardless ya personality zao. Wengi wapo kwenye ndoa.
Sijui kama wanafurahia au laah! Lakini wapo kwenye ndoa zao. Upande wa pili sasa ni balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app