Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
Ogopa wanaojiita single,watu miaka na miaka fb au whatsapp au wapi hawana picha za wapenzi au hata za familia ili wasitoswe,ukimwuliza mtu yupo fasta kujibu yupo single ila unaona kama umri umeenda kiasi flani ukiview huoni picha ya mke au mme wake,basi hata ya mtoto.
Ogopa sana wanaojiita single ni wahuni mno unaweza kuuawa kwa rungu kwenye mapaja ya mtu.
Ogopa sana wanaojiita single ni wahuni mno unaweza kuuawa kwa rungu kwenye mapaja ya mtu.