Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,015
- 156,374
Nimekuwa nikifuatilia thread nyingi za wanao tafuta wachumba hapa JF. Nimegundua urafiki hushamiri siku ya kwanza kwa Pm za hapa na pale, watu hawabadilishani namba za simu kwa sababu za kijinga tu. Lakini sababu ya msingi ni kuwa hapa jamvini kuna mababa na midevu yao inajidai mijike, ndio hiyo mara nyingi inatangaza kutafuta waoaji. Nawakilisha kutoka Makongolosi Chunya.