Nikishawahi kufanya maamuzi magumu nyumbani, kuna ndugu wakashangaa na kuuliza, wewe mbona unafanya hivyo?
Miaka 10 baadaye wakaniita, wanaomba msaada wa maisha, wanasema wewe mchizi ulikuwa mbele yetu kwa miaka 10, sisi tulikuwa hatujakuelewa tu wakati ule.
Ningewasikiliza ningekuwa bado sana kufikia malengo fulani sasa hivi.