Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
Wewe Gaijin ni mwana CCM mchakachuaji tuu, sasa kama alikuwa anaweza kwanini walimtoa Sitta mapema wakati wanajua hawezi wakamuweka ma mabwenyenye wenzake?
CCM bureee tuuuuu,,,, Wachakachuaji wakubwanyinyi Gaijin
hayo ya CCM sicho kinachojadiliwa hapa. Hapa tunajadili maelezo yako yaliyo wa generalize wanawake wote sawa.
kinachogomba hapa ni namna ulivyowa geenralize wanawake wote kwa sifa sawa sio suala la kupondwa Anne Makinda kuwa hafai.
To me you are very much welcomed kumponda Anne Makinda kama Anne Makinda kwa sifa na utashi alonao.