Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
dah yaani wema ndo anaishi uswahilini kiasi hicho? duh jamani jamani.
ndo mana kamkubali dogo wa tandale aka MBAGALAAAAound:
dah yaani wema ndo anaishi uswahilini kiasi hicho? duh jamani jamani.
Je mama yake ameolewa au alikuwa nyumba ndogo. Inawezekana mazingira aliyolelewa yanamfanya awe hivyo!
Amekanusha na amesema huwa haangalii nyuma,safi sana wema daima mbele nyuma mwiko
<br />Sio polisi wa siku hizi mazee, niliwahi kumuona mmoja mahakama ya kisutu, asee!! nilitamani anikamate ili niwe jirani yake!!!<br />
<br />
sema ni kubanwa na majukumu tu ama sivyo matembezi yangu yangekuwa kwenye mahakama hiyo kila siku!!!
mtoto wa ukweli knoma.
nje ya mada:hivvi kwanini mipolisi inakuwa na sura za ajabuajabbu?hebu mcheki huyo njagu hapo akikudaka bila kitu kidogo hungoki hata kama huna kosa
Zamani Wema alikuwa jirani yangu kabla ya kuchipukia, na alikuwa bomba toka kipindi akiwa mtoto mdogo sana, mama yake tulikuwa tunamwita Bi Benz kwa sababu alikuwa anaendesha mabenz tu wakati huo, na Dingi alikuwa balozi Jamhuri ya Kongo(Zamani Zaire) na ni mzenji na mke wake wa kwanza yupo Zenji, Lkn sasa hivi mzee wake anasumbuliwa na visukari yupo huko Zenji ndio maana Wema alipoteza uelekeo kitambo kwa sababu ya dingi kuvulia na kuandamwa na magonjwa ya kizee.Mama yake ni mke wa pili kwa jamaa. Mzee Sepetu alioa mjerumani nafikiri waliachana ndo akawa na mama wema. Nisahihisheni kama si Sepetu huyu. Mtoto halfcast wa Kijerumani ninamfahamu, nafikiri atakuwa ujerumani (jina nimeficha kwa kuwa hahusiki hapa).
ZAMARADI: EXCLUSIVE INTERVIEW WITH WEMA SEPETU KUHUSU UHUSIANO WAKE NA DIAMOND....
Mmmh, he is sweet, choclate, smells gud bla blabla
Kwa kweli huwa namsikitikia sana huyu bint, ni mrembo sana angetulia maisha yake yangekuwa na mwelekeo.