Wema SEPETU

Pole sana Siwema Sepetu,ujana kazi wote tulipita huko.sasa kua achana na hao akina kanumba,chaz mama na wengine watazidi kukutotoza,tulia fanya mambo ya maendeleo kwani kujipanga ni mapema na uzeeni ni mafao.
 
Pole sana Siwema Sepetu,ujana kazi wote tulipita huko.sasa kua achana na hao akina kanumba,chaz mama na wengine watazidi kukutotoza,tulia fanya mambo ya maendeleo kwani kujipanga ni mapema na uzeeni ni mafao.
Ushauri mzuri kwa WEMA
 
wema-sepetu.jpg


mnawakumbuka huyu kimwana?enzi zileee akiwa mis........?
 

Attachments

  • IMG_0480.JPG
    IMG_0480.JPG
    51.6 KB · Views: 257
Jamani huyu mdada nilishamsahau hivi kajichimbia wapi siku hizi loh???? Nisaidieni jamani kujua alipo na anachokifanya.:mullet:
 
Amerudi tz yupo anabadilisha tu na star....ukiwa na jina tu unakaa pale ukichuja nae anakubwaga......anauza sana sura mjini hapa
 
Ameamua kuwa muangalia soka la bongo??? Kweli maisha PU%$U LA MBUZI... yanagonga huku... yanagonga na kule
 
Back
Top Bottom