Ushauri mzuri kwa WEMAPole sana Siwema Sepetu,ujana kazi wote tulipita huko.sasa kua achana na hao akina kanumba,chaz mama na wengine watazidi kukutotoza,tulia fanya mambo ya maendeleo kwani kujipanga ni mapema na uzeeni ni mafao.
amekuwa mdada huyoo sijui wapopo wamezeesha hiyo au:wink2:
wamezeesha nini tena mkuu?/
kwani huwa zina undergo old?
kupenda sana mb**** ya kila mwanamziki na msanii kumemzeesha
Wachaga wanamsemo wao wanasema aliachiwa kisu huyu,:rain:
ikitumika sana mpaka ...... uso unabadilika usiulize zaidi tafadhali:rain:
mbona yupo poa tu jamani, she is still attractive acheni maneno mbofumbofu bana.....