jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Mastaa wa filamu za kibongo wanadada Wema Sepetu na Jackline Wolper watazichapa ulingoni ili kumaliza bifu lao katika mpambano wa utangulizi kusubiria mpambano wa Francis Cheka na Japhet Kaseba.
View attachment 58056