wema sepetu.....kwa uzoefu wangu......

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,108
115,847
hapa jf sasa hivi kuna thread nyingi za wema sepetu

kwa ujumla zote zinamponda kama alieshindikana hivina kadhalika

na kwa watanzania pia mtazamo uko hivi hivi........

niseme binafsi nimewahi kuona ndugu zangu wawili katika ukoo

mabinti,waliokuwa na tabia kama za wema.....

yaani,walikuwa kama wameshindikana hivi kwenye masuala ya ngono....

hawaambiwi,hawasikiii

it turn out wote wawili,licha ya kuwa na wazazi tofauti....

ilikuja kugundulika baadae chanzo cha matatizo yao ni baba zao..

how. walikuwa sexually abused na baba zao......

mmoja alikuwa akipelekwa shule na baba yake,
wakisafiri anageuka mke wa baba yake huko safarini,wanafikia chumba kimoja cha hoteli
na kadhalika.........

sasa walipoanza kucharuka,cha ajabu baba zao licha ya kuwa wakali saana
walikuwa hawachukui hatua yeyote ile kwasana......


tukija kwa wema,tujiulize,mbona baba yake yuko kimyaaa sana?

halafu mbona inaonekana anaelewana vizuri tu baba yake???????/

sisemi ni kesi hiyo hiyo,but kwa uzoefu wangu
naweza kusema,wema akichunguzwa vizuri na akipata therapist wazuri
am not so far from the truth, trust me
 
hapa jf sasa hivi kuna thread nyingi za wema sepetu

kwa ujumla zote zinamponda kama alieshindikana hivina kadhalika

na kwa watanzania pia mtazamo uko hivi hivi........

niseme binafsi nimewahi kuona ndugu zangu wawili katika ukoo

mabinti,waliokuwa na tabia kama za wema.....

yaani,walikuwa kama wameshindikana hivi kwenye masuala ya ngono....

hawaambiwi,hawasikiii

it turn out wote wawili,licha ya kuwa na wazazi tofauti....

ilikuja kugundulika baadae chanzo cha matatizo yao ni baba zao..

how. walikuwa sexually abused na baba zao......

mmoja alikuwa akipelekwa shule na baba yake,
wakisafiri anageuka mke wa baba yake huko safarini,wanafikia chumba kimoja cha hoteli
na kadhalika.........

sasa walipoanza kucharuka,cha ajabu baba zao licha ya kuwa wakali saana
walikuwa hawachukui hatua yeyote ile kwasana......


tukija kwa wema,tujiulize,mbona baba yake yuko kimyaaa sana?

halafu mbona inaonekana anaelewana vizuri tu baba yake???????/

sisemi ni kesi hiyo hiyo,but kwa uzoefu wangu
naweza kusema,wema akichunguzwa vizuri na akipata therapist wazuri
am not so far from the truth, trust me

Boss kuna dalili fulani hivi ya ukweli. NitalifaNaishi nae jirani.
 
hapa jf sasa hivi kuna thread nyingi za wema sepetu

kwa ujumla zote zinamponda kama alieshindikana hivina kadhalika

na kwa watanzania pia mtazamo uko hivi hivi........

niseme binafsi nimewahi kuona ndugu zangu wawili katika ukoo

mabinti,waliokuwa na tabia kama za wema.....

yaani,walikuwa kama wameshindikana hivi kwenye masuala ya ngono....

hawaambiwi,hawasikiii

it turn out wote wawili,licha ya kuwa na wazazi tofauti....

ilikuja kugundulika baadae chanzo cha matatizo yao ni baba zao..

how. walikuwa sexually abused na baba zao......

mmoja alikuwa akipelekwa shule na baba yake,
wakisafiri anageuka mke wa baba yake huko safarini,wanafikia chumba kimoja cha hoteli
na kadhalika.........

sasa walipoanza kucharuka,cha ajabu baba zao licha ya kuwa wakali saana
walikuwa hawachukui hatua yeyote ile kwasana......


tukija kwa wema,tujiulize,mbona baba yake yuko kimyaaa sana?

halafu mbona inaonekana anaelewana vizuri tu baba yake???????/

sisemi ni kesi hiyo hiyo,but kwa uzoefu wangu
naweza kusema,wema akichunguzwa vizuri na akipata therapist wazuri
am not so far from the truth, trust me


unajua Boss, binafsi sioni cha ajabu sana kwa huyu binti,
kiukweli sioni kama ana tofauti kubwa kitabia na wasichana/wanawake walio wengi.......
tatizo ni kwamba huyu ni kule kujulikana kwake ndo kunamponza,
hivyo kila wakati macho ya watu yanamwangalia kafanya nini ili watu wapate cha kusema.
lakini to be sincere, hivi vitabia vyake most of girls wanazo sana tu.....................
na wala haiitaji ushahidi kwani tunawaona sana kitaa wakiyafanya haya,
Ni kwakuwa tu hawana attention kubwa kwa jamii ndo maana mambo yao yanaishia kimya kimya tu!............................
 
Hapo The Boss Umejenge hoja, Binafsi sina comments coz ulichokisema hapo juu kwangu ni stori ngeni, ila inanipa uhakika fulan coz wewe binafsi umeexperience kwa dada zako hao. Mimi sikuzote kupenda ngono kupita kiasi nachukulia kama hulka ya mtu!
 
unajua Boss, binafsi sioni cha ajabu sana kwa huyu binti,
kiukweli sioni kama ana tofauti kubwa kitabia na wasichana/wanawake walio wengi.......
tatizo ni kwamba huyu ni kule kujulikana kwake ndo kunamponza,
hivyo kila wakati macho ya watu yanamwangalia kafanya nini ili watu wapate cha kusema.
lakini to be sincere, hivi vitabia vyake most of girls wanazo sana tu.....................
na wala haiitaji ushahidi kwani tunawaona sana kitaa wakiyafanya haya,
Ni kwakuwa tu hawana attention kubwa kwa jamii ndo maana mambo yao yanaishia kimya kimya tu!............................

Hasara ya umaarufu. Na ingekuaje kama ingelikuwa hasemwi? Sipati picha.
 
hapa jf sasa hivi kuna thread nyingi za wema sepetu

kwa ujumla zote zinamponda kama alieshindikana hivina kadhalika

na kwa watanzania pia mtazamo uko hivi hivi........

niseme binafsi nimewahi kuona ndugu zangu wawili katika ukoo

mabinti,waliokuwa na tabia kama za wema.....

yaani,walikuwa kama wameshindikana hivi kwenye masuala ya ngono....

hawaambiwi,hawasikiii

it turn out wote wawili,licha ya kuwa na wazazi tofauti....

ilikuja kugundulika baadae chanzo cha matatizo yao ni baba zao..

how. walikuwa sexually abused na baba zao......

mmoja alikuwa akipelekwa shule na baba yake,
wakisafiri anageuka mke wa baba yake huko safarini,wanafikia chumba kimoja cha hoteli
na kadhalika.........

sasa walipoanza kucharuka,cha ajabu baba zao licha ya kuwa wakali saana
walikuwa hawachukui hatua yeyote ile kwasana......


tukija kwa wema,tujiulize,mbona baba yake yuko kimyaaa sana?

halafu mbona inaonekana anaelewana vizuri tu baba yake???????/

sisemi ni kesi hiyo hiyo,but kwa uzoefu wangu
naweza kusema,wema akichunguzwa vizuri na akipata therapist wazuri
am not so far from the truth, trust me

28.jpg


Mwenyewe huyo hapo
 
Wazee wanakula vyao wenyewe bana, wangojee laana zao ziwachukie kama mvua ya mawe.
 
unajua Boss, binafsi sioni cha ajabu sana kwa huyu binti,
kiukweli sioni kama ana tofauti kubwa kitabia na wasichana/wanawake walio wengi.......
tatizo ni kwamba huyu ni kule kujulikana kwake ndo kunamponza,
hivyo kila wakati macho ya watu yanamwangalia kafanya nini ili watu wapate cha kusema.
lakini to be sincere, hivi vitabia vyake most of girls wanazo sana tu.....................
na wala haiitaji ushahidi kwani tunawaona sana kitaa wakiyafanya haya,
Ni kwakuwa tu hawana attention kubwa kwa jamii ndo maana mambo yao yanaishia kimya kimya tu!............................

mkuu kama umaarufu,mbona kuna wasichana weengimaarufu????/
miss tanzania wako wangapi????/
mbona ni yeye tu anaevuma?
we huoni ana kama tatizo la kisaikolojia hivi
la kutafuta attention??????
au kumkomoa baba yake hivi?????/
jiulize why???????/
 
Back
Top Bottom