Wema Sepetu Gambani

Wema Sepetu Gambani

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
P.jpg
Wema akimkabidhi sh. 500,000 mmoja wa wananchi wa Kwadelo walioathirika na mafuriko. Kwa mujibu wa Diwani Kariati (wapili kushoto), fedha hizo zimetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Meembe ambaye ni mzee wa heshima wa kata hiyo.


sijaelewa sana hii.......................................
 
K.jpg
Panzi! Panzi! Panzi!, Wema Sepetu (shati ya kijani) akifunika uso wake kwa kipochi chake, huku akipiga kelele na kujiingiza katika kundi la wazee, kwa sababu ya kuogopa panzi aliyemdandia wakati wa shughuli za uzinduzi huo shambani
 
G.jpg G.jpg G.jpg G.jpg
Wema Sepetu akiungurumisha trekta ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa kampeni hiyo. Wapili Kulia ni Omary Kariati
 
Jamani hata akili ya kufikiria hakuna. ..shughuli kama hiyo mtu sijui ndo mgeni rasmi anatinga na tight yeah skintight ndani ya watu wazima wenye heshima zao.

Bongo ...its long way guys
 
Jamani hata akili ya kufikiria hakuna. ..shughuli kama hiyo mtu sijui ndo mgeni rasmi anatinga na tight yeah skintight ndani ya watu wazima wenye heshima zao.

Bongo ...its long way guys

Not just long way it is a very long way to go.
 
Jamani hata akili ya kufikiria hakuna. ..shughuli kama hiyo mtu sijui ndo mgeni rasmi anatinga na tight yeah skintight ndani ya watu wazima wenye heshima zao.

Bongo ...its long way guys
Miafrika Ndivyo Tulivyo, asema Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Jamani hata akili ya kufikiria hakuna. ..shughuli kama hiyo mtu sijui ndo mgeni rasmi anatinga na tight yeah skintight ndani ya watu wazima wenye heshima zao.

Bongo ...its long way guys
Sister unashangaa nini wakati hayo ndiyo mambo yenu ya kisasa!
 
Jamani hata akili ya kufikiria hakuna. ..shughuli kama hiyo mtu sijui ndo mgeni rasmi anatinga na tight yeah skintight ndani ya watu wazima wenye heshima zao.

Bongo ...its long way guys

madame x hiyo ni style ya kutega hiyo mizee yenye kijani ambayo haitaki kupitwa na kitu. Hapo udenda unadondoka mpaka chini haaaaaah!!!

Wema nae hata kama biashara matangazo lakini anatakiwa kuwa mstaarabu kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Akili mbovu birds of the same feather, sasa wema analeta strength gani kwa chama ? Umalaya Kama wao? Sisi wenye maintain tumepiga marufuku hata Watoto wetu kutafuta Hilo jina, Hao wangekua water wanaojiheshimu na kufuatilia maadilinkama cuf na Chadema wasingejihusisha nae ni bindi mchafu Hana anacholeta wala kuchangia katika jamiiforums, shule Hana maadili Hana mnauza sura! Angalieni vitu kwa quality za Wakina esther
 
Akili mbovu birds of the same feather, sasa wema analeta strength gani kwa chama ? Umalaya Kama wao? Sisi wenye maintain tumepiga marufuku hata Watoto wetu kutafuta Hilo jina, Hao wangekua water wanaojiheshimu na kufuatilia maadilinkama cuf na Chadema wasingejihusisha nae ni bindi mchafu Hana anacholeta wala kuchangia katika jamiiforums, shule Hana maadili Hana mnauza sura! Angalieni vitu kwa quality za Wakina esther
Hapo unapata picha CCM ni chama cha aina gani!
 
Kumbe ndio maana mkulu hakosi kwenye mazishi ya wasanii ili kuwavuta waanze kuvaa green shirts? Haya bwana ngoja tuone mvuto wao kuelekea 2015 hasa pale watakapo anza kuonyesha vyupi hadharani ili kuleta mvuto kwa chama chetu [pendwa CCM]. Ila nina hakika kule kijijini kwetu hata akiacha paja nje atatolewa kwa bakora
 
Jamani hata akili ya kufikiria hakuna. ..shughuli kama hiyo mtu sijui ndo mgeni rasmi anatinga na tight yeah skintight ndani ya watu wazima wenye heshima zao.

Bongo ...its long way guys
kuna mtu alisema ukipata div 4 huo ndio ukomo wako wa akili
 
Back
Top Bottom