Wema na mama yake wafumwa singida

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,383
Siri imefichuka, inasemekana wema isaac sepetu na mama yake mzazi walienda mkoani singida miezi michache iliyopita ili kumroga mume wa mtu clement na kumuweka sawa, pia inasemekana baada ya kurudi bongo wema aligeuza tena kurudi kwa mganga na kumroga diamond ili amuache penny...
 
Hapa napo tukidai picha tutakuwa tunawaudhi ama kumuudhi mleta mada? warumi.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Last edited by a moderator:
Cku hizi uchawi n kunako 6 by 6 n hela yko.ingekua uchawi w mpnz una nguvu sumbawanga wote wangolewa mana hko n majanga
 
Anaeandika Story za domo na wema imetosha sasa mara wema mara domo hivi hamjui humu JF kuna watu wana Title zao wamekaa kimya wanawachora tu Khaaaaaa.
 
Anaeandika Story za domo na wema imetosha sasa mara wema mara domo hivi hamjui humu JF kuna watu wana Title zao wamekaa kimya wanawachora tu Khaaaaaa.

Hata wewe ungekuwa maarufu ungeandikwa sema ndo ivo mkuu
 
Back
Top Bottom