Wema, kupungua mwili sasa basi. Utakuwa mifupa

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,512
Habarini...

Kiukweli murembo Wema alikuwa likibonge hadi akapoteza muonekano.

Mimi pia sikupendezwa na ubonge ule...ila sasa dada amepungua sana na kufikia kuwa mifupa a.k.a kimbaumbau...

Hapo awali tetesi zilisema kuwa murembo aliamua kwenda kukata utumbo ili apungue na kuwa mwembamba.

Kwa sasa muonekano wa Wema umekuwa mbaya kwani amedhoofu.


Ni hayo tuu...
 
Hiyo
Screenshot_20190708-211521_Instagram.jpeg
 
Habarini...

Kiukweli murembo Wema alikuwa likibonge hadi akapoteza muonekano.

Mimi pia sikupendezwa na ubonge ule...ila sasa dada amepungua sana na kufikia kuwa mifupa a.k.a kimbaumbau...

Hapo awali tetesi zilisema kuwa murembo aliamua kwenda kukata utumbo ili apungue na kuwa mwembamba.

Kwa sasa muonekano wa Wema umekuwa mbaya kwani amedhoofu.


Ni hayo tuu...
Sasa bila ukajua umeeleweka...?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom