Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,512
Habarini...
Kiukweli murembo Wema alikuwa likibonge hadi akapoteza muonekano.
Mimi pia sikupendezwa na ubonge ule...ila sasa dada amepungua sana na kufikia kuwa mifupa a.k.a kimbaumbau...
Hapo awali tetesi zilisema kuwa murembo aliamua kwenda kukata utumbo ili apungue na kuwa mwembamba.
Kwa sasa muonekano wa Wema umekuwa mbaya kwani amedhoofu.
Ni hayo tuu...
Kiukweli murembo Wema alikuwa likibonge hadi akapoteza muonekano.
Mimi pia sikupendezwa na ubonge ule...ila sasa dada amepungua sana na kufikia kuwa mifupa a.k.a kimbaumbau...
Hapo awali tetesi zilisema kuwa murembo aliamua kwenda kukata utumbo ili apungue na kuwa mwembamba.
Kwa sasa muonekano wa Wema umekuwa mbaya kwani amedhoofu.
Ni hayo tuu...