Wema aikataa CCM na kujiunga Chadema?

Kweli nimeamini kwamba....
Kuna vitu vinafananishwa na mambo ya kijinga, na pia mambo mengine yanafananishwa na vitu vya kijinga......
Ebu ngoja niishie hapa kwanza
 
Wabongo acheni wizi aisee

Hii habari nimeianzisha mimi masaa kadhaa yaliyo pita

Muungwana blog wakaniibia habari yangu wakaippost kwenye blog yao

Halafu na wewe pia umeiba habari hiyo hiyo umeirudisha tena JF

Broo tumia kichwa chako kutengeneza habari usipende mtelezo kiasi hicho
Unaona umeandika kitu cha maana mwenyewe.... Kwi kwi kwi
 
Asset or Liability - by Wilbroad Slaa (Ph.D.)

Huyu Wema ni liability acheni utani Chadema sio kila kapi la CCM ni la kubeba
 
Bado wale waliokuwa wanakata mauno majukwaani, walikuwa wanatuambia wapinzani mtaisoma namba.
 
Lowasa alijisafisha wapi baada ya kumshutumu nchi nzima kuwa ni fisadi mkubwa?!
Hahahaaaa Lowassa alisafishwa na ccm kisha akasuuzwa na chadema!! Au umesahau ile kauli ya chama Dola kuwa mwenye ushahidi juu ya ufisadi wa Lowassa aende mahakamani? Nani aliwahi kwenda? Kama ccm mumepata huo ushahidi pelekeni tu!hamjachelewa
 
Mwanadada Wema Sepenga ameonesha kwa namna moja ama nyingine kuamishia majeshi Chadema mara baada ya kuona huko alikokuwa mwanzoni (CCM)alikuwa hayupo sehemu sahihi.

Kwa uonesha msisistizo zaidi Wema ameonesha mahaba mazito kwa mheshimiwa Freemaan Mbowe ikiwemo ku like picha zake nyiiingi huko Instagram.

View attachment 472975

Haya saaaaasa Aluta kontinuaaaaa muvi ndo kwaaaaanza linaanza..
Sio vizr kukurupuka hivyo! Hivyo mkuu ' inafaaa jambo kama hili uwe na uhakika nalo' la sivyo unaweza harbu mpango wake wa kuja cdm ' vumilia kidgo wengi wanakuja' sio Wema tu.
 
Mwanadada Wema Sepenga ameonesha kwa namna moja ama nyingine kuamishia majeshi Chadema mara baada ya kuona huko alikokuwa mwanzoni (CCM)alikuwa hayupo sehemu sahihi.

Kwa uonesha msisistizo zaidi Wema ameonesha mahaba mazito kwa mheshimiwa Freemaan Mbowe ikiwemo ku like picha zake nyiiingi huko Instagram.

View attachment 472975

Haya saaaaasa Aluta kontinuaaaaa muvi ndo kwaaaaanza linaanza..
hongera kwa utabiri mkuu
 
Watoto wa Lumumba kwa mbwembwe! wakati mkimtumia kwenye majukwa alikuwa habugii unga, au ndo ile ya sizitaki mbichi hizi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom