Unaona umeandika kitu cha maana mwenyewe.... Kwi kwi kwiWabongo acheni wizi aisee
Hii habari nimeianzisha mimi masaa kadhaa yaliyo pita
Muungwana blog wakaniibia habari yangu wakaippost kwenye blog yao
Halafu na wewe pia umeiba habari hiyo hiyo umeirudisha tena JF
Broo tumia kichwa chako kutengeneza habari usipende mtelezo kiasi hicho
Ohoooo....Mkuu wameniibia hao thread yangu
Niliianzisha celebrities forum masaa yaliyo pita
Muungwana wakaipenda ,wakaichukua
Halafu na huyu jamaa kawaibia muungwana habari yangu na kuileta humu Jf
Hahahaaaa Lowassa alisafishwa na ccm kisha akasuuzwa na chadema!! Au umesahau ile kauli ya chama Dola kuwa mwenye ushahidi juu ya ufisadi wa Lowassa aende mahakamani? Nani aliwahi kwenda? Kama ccm mumepata huo ushahidi pelekeni tu!hamjachelewaLowasa alijisafisha wapi baada ya kumshutumu nchi nzima kuwa ni fisadi mkubwa?!
Ila kusema ukweli chama chenu hakina utu aisee.Kaondoka lowassa ccm nn wema weweee??? Kaondoka kingunge ccm nn wema weweee,kaondoka sumaye ccm nn wema weweeee
Sio vizr kukurupuka hivyo! Hivyo mkuu ' inafaaa jambo kama hili uwe na uhakika nalo' la sivyo unaweza harbu mpango wake wa kuja cdm ' vumilia kidgo wengi wanakuja' sio Wema tu.Mwanadada Wema Sepenga ameonesha kwa namna moja ama nyingine kuamishia majeshi Chadema mara baada ya kuona huko alikokuwa mwanzoni (CCM)alikuwa hayupo sehemu sahihi.
Kwa uonesha msisistizo zaidi Wema ameonesha mahaba mazito kwa mheshimiwa Freemaan Mbowe ikiwemo ku like picha zake nyiiingi huko Instagram.
View attachment 472975
Haya saaaaasa Aluta kontinuaaaaa muvi ndo kwaaaaanza linaanza..
hongera kwa utabiri mkuuMwanadada Wema Sepenga ameonesha kwa namna moja ama nyingine kuamishia majeshi Chadema mara baada ya kuona huko alikokuwa mwanzoni (CCM)alikuwa hayupo sehemu sahihi.
Kwa uonesha msisistizo zaidi Wema ameonesha mahaba mazito kwa mheshimiwa Freemaan Mbowe ikiwemo ku like picha zake nyiiingi huko Instagram.
View attachment 472975
Haya saaaaasa Aluta kontinuaaaaa muvi ndo kwaaaaanza linaanza..
kaka umemaliza kila kitu.....ccm tunajiweza kwanza hatuoni mchango wake kwny chama chetu zaidi wanakitia doa aondoke aende akasafishwe uko chademaKaondoka lowassa ccm nn wema weweee??? Kaondoka kingunge ccm nn wema weweee,kaondoka sumaye ccm nn wema weweeee
Wote hao wanafollowers 2m and above IG?kasepa na kijijiKaondoka lowassa ccm nn wema weweee??? Kaondoka kingunge ccm nn wema weweee,kaondoka sumaye ccm nn wema weweeee