UAMUZI wa wema kwenda CHADEMA hautakuwa na athari yoyote kwa CCM 2020

mwanaone

JF-Expert Member
Apr 2, 2011
637
760
Uamuzi wa msanii nguli wa sanaa WEMA SEPETU kwenda chadema hautakuwa na athari yoyote KWA CCM kwa sababu zifuatazao.
  1. Sababu zilizosababisha CCM kumtumia WEMA 2015 na wasanii wengine hazitakuwepo 2020.Wema na wenzake walitumika kwa kuwa CCM ilitaka kuvuta hadhara ya watu kumwaga sera lkn 2020 haitakuwa na sababu ya kutumia wasanii kwasababu itakuwa imetekeleza sera zote ILIZOZINADI , na wananchi wameona kwa vitendo ( VIWANDA itakuwa vimejaa kila kona ya nchi, waliokuwa wanaishi kama MASHETANI (masikini) ambao ni wengi tunatagemea watakuwa wanaishi kama MALAIKA ifikapo 2020.
  1. Pia wema alitumika na CCM 2015 kwakuwa alikuwa na wafuasi wengi katika mitandao ya KIJAMII (instagram, facebook n.k) lkn kutokana na VIJANA wengi watakuwa busy na AJIRA zitakazokuwa zimemwaga na serikali makini ya CCM kupitia VIWANDA idadi ya wafuasi wa wema ITAKUWA zero wakati huo kwa hiyo CHAMA CHA CCM kitakuwa salama.
  2. Mwisho wa yote inavyoonyesha wafuasi wengi wa WEMA ni VILAZA kwahiyo kutokana na SERA ya serikali hii ya kuhakikisha inaboresha ELIMU (kufukuza hata wanafunzi waliokuwa mwaka wa pili na watatu vyuoni) tunaamini 2020 hakutakuwa na kilaza wa kumfuata WEMA kwahiyo pia CCM Itakuwa salama
Angalizo ( sheria ya uchaguzi wa TANZANIA mpiga kura ni mtanzania yoyote ambaye ametimiza miaka 18 -bila kujali ni kilaza au sio kilaza)
TAFSIRI YA KILAZA
KILAZA SIO CHIZI BALI NI MTU YOYOE AMBAYE HAJAPATA DIVISION 1 NA 2 KWA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA SITA .
na mwandishi wa habari hii pia ni kilaza maana sikupata division 1 na 2 kwa matokeo yangu yote ya kidato cha 5&6.
 
Uamuzi wa msanii nguli wa sanaa WEMA SEPETU kwenda chadema hautakuwa na athari yoyote KWA CCM kwa sababu zifuatazao.
  1. Sababu zilizosababisha CCM kumtumia WEMA 2015 na wasanii wengine hazitakuwepo 2020.Wema na wenzake walitumika kwa kuwa CCM ilitaka kuvuta hadhara ya watu kumwaga sera lkn 2020 haitakuwa na sababu ya kutumia wasanii kwasababu itakuwa imetekeleza sera zote ILIZOZINADI , na wananchi wameona kwa vitendo ( VIWANDA itakuwa vimejaa kila kona ya nchi, waliokuwa wanaishi kama MASHETANI (masikini) ambao ni wengi tunatagemea watakuwa wanaishi kama MALAIKA ifikapo 2020.
  1. Pia wema alitumika na CCM 2015 kwakuwa alikuwa na wafuasi wengi katika mitandao ya KIJAMII (instagram, facebook n.k) lkn kutokana na VIJANA wengi watakuwa busy na AJIRA zitakazokuwa zimemwaga na serikali makini ya CCM kupitia VIWANDA idadi ya wafuasi wa wema ITAKUWA zero wakati huo kwa hiyo CHAMA CHA CCM kitakuwa salama.
  2. Mwisho wa yote inavyoonyesha wafuasi wengi wa WEMA ni VILAZA kwahiyo kutokana na SERA ya serikali hii ya kuhakikisha inaboresha ELIMU (kufukuza hata wanafunzi waliokuwa mwaka wa pili na watatu vyuoni) tunaamini 2020 hakutakuwa na kilaza wa kumfuata WEMA kwahiyo pia CCM Itakuwa salama
Angalizo ( sheria ya uchaguzi wa TANZANIA mpiga kura ni mtanzania yoyote ambaye ametimiza miaka 18 -bila kujali ni kilaza au sio kilaza)
TAFSIRI YA KILAZA
KILAZA SIO CHIZI BALI NI MTU YOYOE AMBAYE HAJAPATA DIVISION 1 NA 2 KWA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA SITA .
na mwandishi wa habari hii pia ni kilaza maana sikupata division 1 na 2 kwa matokeo yangu yote ya kidato cha 5&6.
dah hii sasa kali
 
Yaani hayo maneno ukiyasoma kutoka kulia kuja kushoto ndo unapata maana nzr!!!!! Mleta mada ni mchochezi
 
Hakuwafaa Edo, Wema atasaidia nini?
Mi naona ameamua kuhamia nyumbani tu, nyumba ya madawa...
 
Asante sana mleta mada,umeleweka kwa nguvu ya 7 na sauti ya juu sana.muongeze na yule waziri muzito,aliyeimba anaimani na mtu fulani,nae atakua ameunda ccj yake hivyo ccm itakua salama sana na juu zaidi !
 
Sababu na 1 imejirudia tena rekebisha mkuu. Kuna ile ya kufuga mashoga nyumbani kwake ambao wametimuliwa na mama yake ni pwenti muhimu uliyo isahau kuiweka.

Na washawasha!
 
WEMA ana uzito gani kwenye siasa?WEMA ana wafuasi wengi?bora hats ungetolea mfano Wa Manji au Gwajima..
 
WEMA ana uzito gani kwenye siasa?WEMA ana wafuasi wengi?bora hats ungetolea mfano Wa Manji au Gwajima..
Kaka inawezekana huishi tanzania Mimi binafsi ktk kiumbe ambae simfagilii kama wema Hakuna Nina Sababu zangu Lkn siwezi kushindana Na ukweli wema ana wafuasi Wengi ktk wasanii wa Tanzania Na wafuasi wake hufuata Na watafuata upepo (tuna matatizo watanzania kila jambo tunaleta utani)
 
Kaka inawezekana huishi tanzania Mimi binafsi ktk kiumbe ambae simfagilii kama wema Hakuna Nina Sababu zangu Lkn siwezi kushindana Na ukweli wema ana wafuasi Wengi ktk wasanii wa Tanzania Na wafuasi wake hufuata Na watafuata upepo (tuna matatizo watanzania kila jambo tunaleta utani)
WEMA ana uzito gani kwenye siasa?WEMA ana wafuasi wengi?bora hats ungetolea mfano Wa Manji au Gwajima..
nadhani ikiwa ni mfuatiliaji wa mambo utakumbukA kampeni Za CCM 2015 zilitawaliwa Na wasanii Na 2020 sijaona Kama wasanii hawatakua Na nafasi hii ni kutokana Na wapigaji kura wengi wapo ktk mitandao Na vilaza ambao wanasubiri kwa hamu kumpata RAIS wa vilaza hiyo 2020
 
Kaka inawezekana huishi tanzania Mimi binafsi ktk kiumbe ambae simfagilii kama wema Hakuna Nina Sababu zangu Lkn siwezi kushindana Na ukweli wema ana wafuasi Wengi ktk wasanii wa Tanzania Na wafuasi wake hufuata Na watafuata upepo (tuna matatizo watanzania kila jambo tunaleta utani)
Ktk bongo movie alikua labda marehemu Kanumba tu...nakwambia Hanna kitu...ingawa Mimi sio ccm lkn nakueleza ukweli ni huu,WEMA awe na wafuasi wengi?au watoto Wa Shule?basis bora ungesema Joti au Masanja,Ni nani bado anaangalia movie za kina wema? WEMA ana nguvu/Wafuasi zaidi ya Lowassa na Kingunge?Hays jiulize kimetokea mini mpaka sasa kwa wakongwe hawa?na WEMA atafanya mini cha ajabu??
 
nadhani ikiwa ni mfuatiliaji wa mambo utakumbukA kampeni Za CCM 2015 zilitawaliwa Na wasanii Na 2020 sijaona Kama wasanii hawatakua Na nafasi hii ni kutokana Na wapigaji kura wengi wapo ktk mitandao Na vilaza ambao wanasubiri kwa hamu kumpata RAIS wa vilaza hiyo 2020
Ktk bongo movie alikua labda marehemu Kanumba tu...nakwambia Hanna kitu...ingawa Mimi sio ccm lkn nakueleza ukweli ni huu,WEMA awe na wafuasi wengi?au watoto Wa Shule?basis bora ungesema Joti au Masanja,Ni nani bado anaangalia movie za kina wema? WEMA ana nguvu/Wafuasi zaidi ya Lowassa na Kingunge?Hays jiulize kimetokea mini mpaka sasa kwa wakongwe hawa?na WEMA atafanya mini cha ajabu??
kaka Hakuna ubishi Tanzania ipo ktk kipindi cha kushangaza umbea Na mambo yasiyo Na msingi yanapewa kipaumbele.

Let say wema hana impact yoyote ilikuwaje CCM wakamtumia 2020.

Je unajua kura moja inaweza kumpa MTU urais
Kupoteza mteja mmoja kwa mfanyabiashara ni sawa Na kupoteza kura moja kwa mwanasiasa
 
Ktk bongo movie alikua labda marehemu Kanumba tu...nakwambia Hanna kitu...ingawa Mimi sio ccm lkn nakueleza ukweli ni huu,WEMA awe na wafuasi wengi?au watoto Wa Shule?basis bora ungesema Joti au Masanja,Ni nani bado anaangalia movie za kina wema? WEMA ana nguvu/Wafuasi zaidi ya Lowassa na Kingunge?Hays jiulize kimetokea mini mpaka sasa kwa wakongwe hawa?na WEMA atafanya mini cha ajabu??
watoto wa shule za sekondari wanaanza wakiwa na miaka 14/15 wakiaendelea kuwa wafuasi wake mpaka 2020 basi watakuwa wamefikisha 18 umri halali wa kupiga kura. kitu kimoja cha kujifunza ni kuwa kura ya mwenye akili na kilaza zina uzito mmoja . na hakuna maendeleo yatakayokuja kwa kuwadharau kundi fulani ktk jamii au kuona halina mchango wake. na jaribu kuingia mitandao ya kijamii uone folloer wa hao unaowasema na wa huyu unayesema hana nafasi ( kingunge hana nafasi kwa kizazi cha wapiga kura 2020 ambao wengi vijana, tunaomjua kingunge ni sisi wazee) wapinzani hawakuwahi kupata idadi ya kura walizopata 2015 na hii ilitkana na lowassa. sasa endeleeni kudharau watu mkipigania taasisi imara haliyakuwa siasa za africa ni watu na sio taasisi labda iwe taasisi ya wezi.
 
2020 haiitaji kampeni kila mtu atakua anaakili zake timamu kabisaa wacha tusave maumivu yetu
 
Uamuzi wa msanii nguli wa sanaa WEMA SEPETU kwenda chadema hautakuwa na athari yoyote KWA CCM kwa sababu zifuatazao.
  1. Sababu zilizosababisha CCM kumtumia WEMA 2015 na wasanii wengine hazitakuwepo 2020.Wema na wenzake walitumika kwa kuwa CCM ilitaka kuvuta hadhara ya watu kumwaga sera lkn 2020 haitakuwa na sababu ya kutumia wasanii kwasababu itakuwa imetekeleza sera zote ILIZOZINADI , na wananchi wameona kwa vitendo ( VIWANDA itakuwa vimejaa kila kona ya nchi, waliokuwa wanaishi kama MASHETANI (masikini) ambao ni wengi tunatagemea watakuwa wanaishi kama MALAIKA ifikapo 2020.
  1. Pia wema alitumika na CCM 2015 kwakuwa alikuwa na wafuasi wengi katika mitandao ya KIJAMII (instagram, facebook n.k) lkn kutokana na VIJANA wengi watakuwa busy na AJIRA zitakazokuwa zimemwaga na serikali makini ya CCM kupitia VIWANDA idadi ya wafuasi wa wema ITAKUWA zero wakati huo kwa hiyo CHAMA CHA CCM kitakuwa salama.
  2. Mwisho wa yote inavyoonyesha wafuasi wengi wa WEMA ni VILAZA kwahiyo kutokana na SERA ya serikali hii ya kuhakikisha inaboresha ELIMU (kufukuza hata wanafunzi waliokuwa mwaka wa pili na watatu vyuoni) tunaamini 2020 hakutakuwa na kilaza wa kumfuata WEMA kwahiyo pia CCM Itakuwa salama
Angalizo ( sheria ya uchaguzi wa TANZANIA mpiga kura ni mtanzania yoyote ambaye ametimiza miaka 18 -bila kujali ni kilaza au sio kilaza)
TAFSIRI YA KILAZA
KILAZA SIO CHIZI BALI NI MTU YOYOE AMBAYE HAJAPATA DIVISION 1 NA 2 KWA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA SITA .
na mwandishi wa habari hii pia ni kilaza maana sikupata division 1 na 2 kwa matokeo yangu yote ya kidato cha 5&6.
Kidato cha tano kuna matokeo gani? Au unamaanisha Quiz?
 
Back
Top Bottom