Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,027
Kikosi matata cha Simba kilichotikisa katika michuano ya Klabu Binhwa Afrika mwaka 2003, unamkumbuka nani hapo?
Waliosimama kuanzia Julia ni Emanuel Gabriel,, matola,, shekhan rasheed,, haruna moshi boban,, wa mwisho coaster,, waliochuchumaa wa kwnz pawasa,, golikipa kaseja
Waliosimama kutoka kushoto ni Patrick Betwel (RIP), Lubigisa Madata Lubigisa, Ramdhan Wasso, Shekhan Rashid, Sellemani Mattola na Bati Goal Emanuel GabrielKikosi matata cha Simba kilichotikisa katika michuano ya Klabu Binhwa Afrika mwaka 2003, unamkumbuka nani hapo?
View attachment 677161
Victor Costa nyumba yupi hapo?Waliosimama kutoka kushoto ni Patrick Betwel (RIP), Lubigisa Madata Lubigisa, Ramdhan Wasso, Shekhan Rashid, Sellemani Mattola na Bati Goal Emanuel Gabriel
Waliochuchumaa
Kutoka Kushoto ni Boniface Pawasa, Ulimboka Mwakingwe, Juma Kaseja, Athumani Machupa na Steven Mapunda Garincha
HAYUPO HAPOVictor Costa nyumba yupi hapo?
Kajinga wewe, ha ha haaaa,, yaani Matola ndiye unamwita Costa?Waliosimama kuanzia Julia ni Emanuel Gabriel,, matola,, shekhan rasheed,, haruna moshi boban,, wa mwisho coaster,, waliochuchumaa wa kwnz pawasa,, golikipa kaseja
Mstari wa juu kuanzia kushoto.Patric betwel,Lubigisa madata lubigisa,Wasso,shekhan Rashid,Suleiman Matola,Emma Gabriel.
CHINI.Boniface Pawasa,Ulimboka mwakingwe,Juma Kaseja,Athuman Machupa na Stephen Mapunda(Garrincha)
hicho ndio kikosi hapo kwenye picha.Victor Costa hayupo ,aliingia Simba kama sikosei 2004.
umeweka udambwi mwingi sana kuhusu Boban, that alone is a message, lkn kwa bahati mbaya hayupo pichani labda umemfananishaNamuona fundi wa mpira ambaye Mwenyezi Mungu alimpa talanta kubwa sana na maridhawa ya kusakata kabumbu ila ujanja, uhuni na kukosa washauri sahihi kulimpoteza katika soka!
Huyo si mwingine bali ni Haruna Moshi Shabani Mawela Boban.
Mmoja kati ya wanasoka bora kuwahi kutokea nchini Tanzania.
Namuona fundi wa mpira ambaye Mwenyezi Mungu alimpa talanta kubwa sana na maridhawa ya kusakata kabumbu ila ujanja, uhuni na kukosa washauri sahihi kulimpoteza katika soka!
Huyo si mwingine bali ni Haruna Moshi Shabani Mawela Boban.
Mmoja kati ya wanasoka bora kuwahi kutokea nchini Tanzania.