ya mufindi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 508
- 738
Ni uwekezaji mzuri, kama umeweka pesa Bank kwenye Fixed Account. Mfano huku mufindi ekari moja utainunua kwa Tsh. 900000 amoja na ardhi miti ikiwa na miaka 6. So, hekari moja ina miti 600 baada ya miaka minne ijayo kila mti utauuza wastani Tsh. 7000.
600*7000=4200000 kila hekari na unapanda tena.
Njoo uwekeze
0716101434
Picha hazitaki ku-upload
600*7000=4200000 kila hekari na unapanda tena.
Njoo uwekeze
0716101434
Picha hazitaki ku-upload