Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 3,518
- 6,497
Jamii zetu nyingi ni masikini na ni watu wachache Sana ambao ndio wamefanikiwa na hivyo kuwafanya wawe na majukumu mengi Sana katika ukoo....na kuwafanya wawe kimbilio ktk maswala mbali mbali yawe ya furaha na kuhuzunisha.
Na kibaya Zaidi ni kama vile watu hawa waliofanikiwa wanainjoi Sana kuwa wabwana wakubwa ktk ukoo au jamii Yao inayo wazunguka.....najua hapo akili yako imekliki paap je kwanini nasema hivyo! Relax....kama kawaida nyuzi zangu huwa zinasindikizwa na maudambu udambu...kamata popcorn au tende twende pamoja...
Naam wanapenda kuitwa mabwana wakubwa kwasababu....Ile Hali ya watu kuwafuata fuata na Kulia shida kwao wanaona raaaha Yani buruuudani! Yaani mtu akimcheki yeye kuwa ''anko Leo sipo vizur hata hela ya kula sina tafadhali naomba msaada wako'' wanapenda Sana yale mambo.....au ''brother Ada ya mwanangu imepelea naomba msaada wako'' ofcoz mifano IPO mingi Sana nadhani hata wenyewe mnaijua Sana Tu.
Na wengi wao kwakuwa wanapenda ukubwa ktk ukoo matokeo yake wanashindwa kuwasaidia ndugu kutoka kimaisha...ili waendelee kulambwa miguu kila siku ktk ukoo wao...kwasababu wengi wakifanikiwa ukubwa unaisha!
Napenda kuwashauri hawa mabwana kuwa hakuna ufahari wowote WA kuendelea kuwa hivyo kumbuka kuna kufa na kuna Leo na kesho....vipi mara paap! Kazi huna tena au biashara imeanguka hamuoni kwamba hapo ndo ukoo mzima umeanguka?
Ebu badilikeni sasa...Una uwezo wa kusomesha ndugu zako fanya hivyo,unauwezo wa kumpa mtu mtaji WA biashara fanya hivyo...Una konection ya kazi sehemu mpachike ndugu Yao aweze kujisimamia na kuendesha Maisha yake....hii itasaidia kuinua uchumi wa ukoo wenu na kesho au kesho kutwa mnasaidiana ktk majukumu mbali mbali na kukuondolea mzigo mzito ambao ulikuwa unaubeba wewe mwenyewe. Na kumbuka hata Kwa Mwenyezi Mungu utapata fungu lako kwani kusaidia watu ni IBADA.
Mtume Muhammad (rehma na Amani ziwe juu yake) alipohama kutoka Makka kwenda Madina....alimtengenezea mazingira swahaba wake mmoja aliyeambatana naye ili ajikwamue kimaisha au Kwa lugha ya sasa alimtafutia connection! Alikuwa Anaitwa Abdallarahmani raufu kama nitakuwa nimekosea hili Jina naomba nirekebishwe....sasa pale Madina kulikuwa kuna mtu mmoja Anaitwa Abu sadi...huyu alikuwa miongoni mwa matajiri wa pale Madina.
Basi Mjumbe wa Mwenyezi akamwambia Yule Tajir kuwa...nakukabidhi huyu bwana Abdallahraman umsimamie malazi yake na Kula yake...basi Yule Tajir hakuchukua uamuzi wa kukaa naye pale nyumbani na kumlisha na kumpa sehemu ya kulala Ila alitaka Ampe ndoano avue samaki mwenyewe...hakutaka ubwana ukubwa!
Cha Kwanza alimwambia ndugu yangu Nina wake wawili hapa basi chagua yoyote unayempenda Kati Yao kisha Mimi nitamuacha kisha umuoe wewe...najua baadhi yenu msio waislamu mnaweza shangaa daah inakuwaje tena jamaa anampa mwamba achague mke wake? Hayo yalikuwa mambo ya kawaida Sana Kwa waislamu kufanyiana kipindi kile ambacho waislamu walipotoka Makka kwenda Madina kukimbia mateso waliyokuwa wanafanyiwa na washirikina wa Makka....kwahiyo ndugu zao wa Madina waliwakirimu kwa kuwapa wake zao...tena sio kwamba labda anamwacha mke Fulani na kumpa ndugu yake muislamu laa! Bali anamwambia chagua unayempenda wewe nimwache umuoe Mashallah walikuwa wakarimu Sana...
Pili yule Tajiri akamwambia...katika hii Mali yangu...nitaigawa nusu mbili,moja yako na moja yangu tuendeshe Maisha yetu...ebu angalia jinsi hawa watu WA enzi zile wenye hofu ya Mungu walivyokuwa wanajali! Lkn ndugu yako Tu anakuomba laki mbili ya mtaji unamnyima na uwezo huo unao...pumbavu Sana! Lakini Yule anayesaidiwa akamwambia mwenyeji wake naomba tu unionyeshe soko lipo wapi penye kuuza na kununua Kwa maana akafanye biashara na hakuhitaji hela zake...ingawa huenda alimpa cha kuanzia biashara au mtaji.
Undugu ni kusaidiana kuonyeshana njia....kupeana ramani na kupeana ushauri ili wote msonge mbele na si kuwabania wenzako ili ubakie bwana mkubwa na kupata sifa za kijinga.
Ni hayo tu
Na kibaya Zaidi ni kama vile watu hawa waliofanikiwa wanainjoi Sana kuwa wabwana wakubwa ktk ukoo au jamii Yao inayo wazunguka.....najua hapo akili yako imekliki paap je kwanini nasema hivyo! Relax....kama kawaida nyuzi zangu huwa zinasindikizwa na maudambu udambu...kamata popcorn au tende twende pamoja...
Naam wanapenda kuitwa mabwana wakubwa kwasababu....Ile Hali ya watu kuwafuata fuata na Kulia shida kwao wanaona raaaha Yani buruuudani! Yaani mtu akimcheki yeye kuwa ''anko Leo sipo vizur hata hela ya kula sina tafadhali naomba msaada wako'' wanapenda Sana yale mambo.....au ''brother Ada ya mwanangu imepelea naomba msaada wako'' ofcoz mifano IPO mingi Sana nadhani hata wenyewe mnaijua Sana Tu.
Na wengi wao kwakuwa wanapenda ukubwa ktk ukoo matokeo yake wanashindwa kuwasaidia ndugu kutoka kimaisha...ili waendelee kulambwa miguu kila siku ktk ukoo wao...kwasababu wengi wakifanikiwa ukubwa unaisha!
Napenda kuwashauri hawa mabwana kuwa hakuna ufahari wowote WA kuendelea kuwa hivyo kumbuka kuna kufa na kuna Leo na kesho....vipi mara paap! Kazi huna tena au biashara imeanguka hamuoni kwamba hapo ndo ukoo mzima umeanguka?
Ebu badilikeni sasa...Una uwezo wa kusomesha ndugu zako fanya hivyo,unauwezo wa kumpa mtu mtaji WA biashara fanya hivyo...Una konection ya kazi sehemu mpachike ndugu Yao aweze kujisimamia na kuendesha Maisha yake....hii itasaidia kuinua uchumi wa ukoo wenu na kesho au kesho kutwa mnasaidiana ktk majukumu mbali mbali na kukuondolea mzigo mzito ambao ulikuwa unaubeba wewe mwenyewe. Na kumbuka hata Kwa Mwenyezi Mungu utapata fungu lako kwani kusaidia watu ni IBADA.
Mtume Muhammad (rehma na Amani ziwe juu yake) alipohama kutoka Makka kwenda Madina....alimtengenezea mazingira swahaba wake mmoja aliyeambatana naye ili ajikwamue kimaisha au Kwa lugha ya sasa alimtafutia connection! Alikuwa Anaitwa Abdallarahmani raufu kama nitakuwa nimekosea hili Jina naomba nirekebishwe....sasa pale Madina kulikuwa kuna mtu mmoja Anaitwa Abu sadi...huyu alikuwa miongoni mwa matajiri wa pale Madina.
Basi Mjumbe wa Mwenyezi akamwambia Yule Tajir kuwa...nakukabidhi huyu bwana Abdallahraman umsimamie malazi yake na Kula yake...basi Yule Tajir hakuchukua uamuzi wa kukaa naye pale nyumbani na kumlisha na kumpa sehemu ya kulala Ila alitaka Ampe ndoano avue samaki mwenyewe...hakutaka ubwana ukubwa!
Cha Kwanza alimwambia ndugu yangu Nina wake wawili hapa basi chagua yoyote unayempenda Kati Yao kisha Mimi nitamuacha kisha umuoe wewe...najua baadhi yenu msio waislamu mnaweza shangaa daah inakuwaje tena jamaa anampa mwamba achague mke wake? Hayo yalikuwa mambo ya kawaida Sana Kwa waislamu kufanyiana kipindi kile ambacho waislamu walipotoka Makka kwenda Madina kukimbia mateso waliyokuwa wanafanyiwa na washirikina wa Makka....kwahiyo ndugu zao wa Madina waliwakirimu kwa kuwapa wake zao...tena sio kwamba labda anamwacha mke Fulani na kumpa ndugu yake muislamu laa! Bali anamwambia chagua unayempenda wewe nimwache umuoe Mashallah walikuwa wakarimu Sana...
Pili yule Tajiri akamwambia...katika hii Mali yangu...nitaigawa nusu mbili,moja yako na moja yangu tuendeshe Maisha yetu...ebu angalia jinsi hawa watu WA enzi zile wenye hofu ya Mungu walivyokuwa wanajali! Lkn ndugu yako Tu anakuomba laki mbili ya mtaji unamnyima na uwezo huo unao...pumbavu Sana! Lakini Yule anayesaidiwa akamwambia mwenyeji wake naomba tu unionyeshe soko lipo wapi penye kuuza na kununua Kwa maana akafanye biashara na hakuhitaji hela zake...ingawa huenda alimpa cha kuanzia biashara au mtaji.
Undugu ni kusaidiana kuonyeshana njia....kupeana ramani na kupeana ushauri ili wote msonge mbele na si kuwabania wenzako ili ubakie bwana mkubwa na kupata sifa za kijinga.
Ni hayo tu