titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,565
- 9,809
Lofa ni neno la kiingereza loafer yaani mtu choka mbaya la siku nyingi sana hata mimi nimelikuta miaka ya 60Lofa
Sent From My Nokia Ya Tochi
Kwa wasiojua wanafikiri hili neno limeibuka hivi karibuni na hasa ni mabaki ya madini lakini ukweli ni kuwa makinikia ni kitu kinachobaki baada ya kukamua au kutoa kitu remnants,leftovers hata ukikamua nazi machicha yanayobaki na tui linalobaki ni makinikia hali kadhalika miwa ikikamuliwa mabaki ni makinikia