Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,297
Unahisi Captain John Bocco alikuwa anamwambia nini boss kubwa?
😱😁😁😂Yaani sina la kukwambia boss labda niwe kipa kwa sasa![]()
Kanj:alaf wewe Bogo gwanini unakosa sana magoi unashida gadi?
Boco:miguu blaza miguu mizito nahisi nimerogwa boss,mimi sio wakukosa magoli mimi na kipa.






. Hii ndio Jamii forum
🤣🤣Kanj:alaf wewe Bogo gwanini unakosa sana magoi unashida gadi?
Boco:miguu blaza miguu mizito nahisi nimerogwa boss,mimi sio wakukosa magoli mimi na kipa.
Boss tangu umemwachia Try tomorrow njaa imezidi, tunashindia mlo mmoja. Huyu dada barabara ni bahili haijawahi kutokea akipika chakula finyango moja tunagawana watu saba. Si unaona afya zetu zilivyoporomoka? Hata bi EFUE kosa analotuhumiwa nalo ni kuyokana na kutoroka kwenda kuomba ukoko kwa mama ntilie maana haka ka dada kanatupimia chakula kidogo sana
huu uzi nimecheka kifala... Kuna jamaa eti "...miguu blaza.."
We jamaa🤣Boss sorry nilidanganya umri naomba nipewe pension nikae pembeni.