miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Makande tena mwanangu? Iyo kukucd anaweza kupika home
hapana babab makange ya kuku au ya mbuzi baba ... na siyo makande
Makande tena mwanangu? Iyo kukucd anaweza kupika home
Oooh nilijua makande mwanangu kumbe makange...tutaenda bagamoyo baby...unapenda?
bysangeSijamuona siku nyingi huyu mtu, ngoja nikusaidie kumwita, life is Short pita mtaa huu
bysange
Salama yenu wandugu !! Wakuu nashukuru kunikumbuka kupotea kwangu "nilibahatika kupata visima kadhaa vya mafuta I discovered oil sites !! " Dunia ni mihangaiko tu.... pamoja daima, kila la kheyr!!
Ameen !! Nimelenga kufungua ajira ya maelfu kwa wanaJF na WaTZ kwa ujumla. Mkuu engeza Dua'a...Mashallah akhiy Allah akupe zaid na zaid yaliyo halali kwako
Utafanya busara sana. Suala la ajira ni wimbo wa taifa mkuu kila mtu anaimba